Ligi ya Mabingwa Afrika: Simba yapewa Mwarabu (Al Ahly) na Mcongo (As Vita Club)

Wewe unawashwa sana mama-e utaendelea kupanda Kimbinyiko mpaka Mgongo utokee ta-koni.
Vyura badala mmfariji Mwamnyeto kwa msiba nyie mnawashwa washwa na LUNYANSI
 
Taifa tujiandae na aibu ya kufungwa goli 7 au 10 kundi limejaa timu za kiarabu, Simba na waarab wapi na wapi?
Simba ndio itakuwa timu ya kwanza kufungwa Goli 7,Liverpool sio amepigwa Goli 7 na Aston villa juzi kati hapa nini kitakuwa cha Aibu kwa Simba???
 
Taifa tujiandae na aibu ya kufungwa goli 7 au 10 kundi limejaa timu za kiarabu, Simba na waarab wapi na wapi?
[emoji23][emoji23]maneno ya mkosaji.

Simba kiarabu kipo cha kutosha tu.
Yanga chini ya injinia Madaraka Suleiman walipigwa tano, kwa kiarabu"Khamsa al-mahabbah"
 
Wewe unawashwa sana mama-e utaendelea kupanda Kimbinyiko mpaka Mgongo utokee ta-koni.
Vyura badala mmfariji Mwamnyeto kwa msiba nyie mnawashwa washwa na LUNYANSI
Nyau nyie,hadi kocha kawakimbia sababu ya mipaka
 
Mkuu mwambie huyo bwabwa hivi; Kama mpira ungekuwa ni uchawi basi Nigeria na Congo wangekuwa na world cup za kutosha. Vinginevyo apeleke ubwaubwa wake kwa uto wenzake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…