Yaani wakajifanya wana amsha amsha ambazo zimewatumbukia nyongo.Yaani mlikuwa mnashangilia wakati game bado.
Wawa hayuko fit,Manula hayuko fit
Ila Si mbaya tutaheshimiana tu
Aiseee!!! ππππ Nimecheka LOLNguvu moja kuelekea wapi
Hahahaaa. Mtaniiiii. ππππSawa na wewe mumeo ni mimi
Simba nguvu moja
Simba bingwa 2019/2020
Mkuu, sisi wengine tulishasema ukiona wabrazil ujue kuna tatizo.
Unamuachaje okwi, na kotei na hautafuti watu sahihi wa kuziba mapengo.
Leo tutalala na viatu
π³π³π³π³ sijawahi kukuwazia huku Mtani. Hahahaaa.Sawa mke wangu katandike nilale basi
Simba nguvu moja
Simba bingwa 2019/2020
Hahahaaa. Wenge hilo la kuwatania watani Dada mpaka nikakosea kuandika. Daaah.Week end tena dogo?Upo wapi huko mlipo nyuma siku moja?
Kwanza wabrazili wote wanaujua tumewaona wanaupiga mwingi, shida yetu ni kocha.Hakuna mbrazil alie cheza kwann tuwalaum?
Uwiiii!!!Aliye weka kambi morogoro kabaki kwenye michuano lkn walioenda kambi Africa kusini bila shaka watakuwa wamelala.Mungu fundi jamani
Hao kina Ajib na wabrazili ni wazuri sana tu, hawapewi tu nafasi na kocha. Ajib ni majeruhi.Washabiki wa Simba bana! Mnatimu bora ila mjifunze mpira lolote linatokea! Mnaanza maneno mengiiiii, mara wabrazil mara Ajib! Hivi tuwe wakweli kikosi kilichopita ni sawa na hiki? Hiki kikosi ni bora ila mpira ndio ulivyo!
Nakubaliana na wewe 100%Fukuza Ausemssssss
Hakuna wachezaji pale wale wameokotwa tu wakapewa jezi na tiketi waje kucheza mpira, mo kapigwa pesa kiulaini kabisaHivi na wale Wabrazil wameshindwa kuwasaidia hawa mbumbumbu wakapata matokeo.
Hahahaaa! Ana kesi ya kujibu Swahiba.View attachment 1190147alietumwa kupulizia hii kajichanganya badala ya kupulizia sumu kapulizia air freshπ
Kwa hiyo lile lengo la nusu fainali halikuwa la champions league bali Azam Cup si ndio...Sidhani, wako eneo sahihi...haikuwa lengo la simba kuchukua champions ligi, bado hawajafika huko...
Vikombe vya bongo watabeba vingi tu..
Kwani wamecheza, mbona pumba nyingi humu"Wale wabrazil hatari sana,wamecheza na Neymar jr, wanaujua sana mpira" Aliskika mlevi mmoja akizungumza.
sasa wangekuwa wazuri siwangepangwa kikosi cha kwanza?Kwani wamecheza, mbona pumba nyingi humu
Fragha ni mzuri kuliko Kotei, hujamuona tu. Tatizo letu lipo kwenye bench la ufundi hasa AussemsUtani pembeni, Simba inawamiss sana Okwi na Kotei.
Msudan ni kawaida sana. Mo Hussein ni bora kuliko Gardiel.
Mkude alishazoea kucheza na holding midfielder mwenzake. Ku adjust awe peke yake itachukua muda.
Wanakula pesa tu sasa hivi wewe endelea kuendesha gutaNawapa salam Gadiel Michael na Ibrahim Ajibu kokote walipo.
Sisi mke wetu ni YangaMkuu mbona umepanic sana,wachukie UD songo utapata tabu sana,mmeo UD songo
Fraga ni mzuri kuliko Kotei.. Shibumbu ni mzuri kuliko Fraga, Shibumbu ni mzuri kuliko Kotei na Fraga lakini akachemsha. Mirajiiii Athumaniiiii goooooal.... Kudadadeki mnawasajili wauza madafu Brazil kuja kula pensheni ... Wapangishieni kigamboni Kuna madafu ya kutosha.Fragha ni mzuri kuliko Kotei, hujamuona tu. Tatizo letu lipo kwenye bench la ufundi hasa Aussems