Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Najua goli mbili hazikosekani nipige mshindo wa maana...najua wale wenzangu "wazee" washanielewa..
Dakika 90 zikimalizika usisahau kunistua ili nikusaidie kuchana huo mkeka
 
Inabidi serikali iingilie hili swala

Itakua aibu kubwa
emoji41.png
Hapa labda Tigo pesa ihusike hapa.
 
Mimi ni Yanga ila nawaombea Simba waibuke na ushindi tubakiwe na timu 3 angalau mwakani tupate tena nafasi nne za uwakilishi. Mara Paap na Lipuli wana paluhengo wanakwea pipa kimataifa
 
Back
Top Bottom