Ligi ya Mabingwa Afrika | Uwanja wa Taifa, Dar: Simba SC 1-1 UD Songo. Simba yatolewa kwa faida ya goli la ugenini iliyopata UD Songo

Najua goli mbili hazikosekani nipige mshindo wa maana...najua wale wenzangu "wazee" washanielewa..
Dakika 90 zikimalizika usisahau kunistua ili nikusaidie kuchana huo mkeka
 
Mimi ni Yanga ila nawaombea Simba waibuke na ushindi tubakiwe na timu 3 angalau mwakani tupate tena nafasi nne za uwakilishi. Mara Paap na Lipuli wana paluhengo wanakwea pipa kimataifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…