Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
RetreatMuda bado Simba time ni kuanzia dk ya 75 hapo ni mashambulizi tutachomoa na kuongeza 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RetreatMuda bado Simba time ni kuanzia dk ya 75 hapo ni mashambulizi tutachomoa na kuongeza 2
Hela zilizobaki kwa sasa ni za kuwadhibiti Kagera sugar tuMO fanya muamala wa M Pesa haraka kwa refa la sivyo tunaaibika leo
Dah! Nini hiki aisee kudadadeki?
Siangaliii,nategemea hapa hapa JF.Tupe update huko? Niaje niaje? Yan
Yah! Nichomoe nisichomoe? 😅😅😅😅Nasikia wewe ndiyo umeshikilia waya wa betri
Hela zilizobaki kwa sasa ni za kuwadhibiti Kagera sugar tu
Siangaliii,nategemea hapa hapa JF.
Jamani bado tu?Hii timu ingekuwa kama ni baraza la mawaziri,nadhani ningelivunja.
Dk ya 75, mnatakiwa mfunge magoli mawili
Mmeo ni mikia nnYaani mikia wakifungwa leo lazima nibebe mimba ya mapacha.
Leta Updates Kaka nimetoka kidogo hivyo hata sijui nini kinaendelea huko.Dk ya 67
Mikia wanatepeta
Tatizo wana maneno mengi sana, kujiona wai ndio wao, mpira wanaujua, kikosi kipana n.k Mie siwasupport hata sekunde 1, wafungwe tuMimi ni Yanga ila nawaombea Simba waibuke na ushindi tubakiwe na timu 3 angalau mwakani tupate tena nafasi nne za uwakilishi. Mara Paap na Lipuli wana paluhengo wanakwea pipa kimataifa
Wow,yaani naomba Mungu dakika zikimbie isivyo kawaida. Walisema mwaka huu wanabeba CL.Dk 80....mikia bado kakojoa kitandani
Pole. Mme wangu ni Yanga. Sema jana tumelia wote. Yeye Arsenal mimi Man united.Mmeo ni mikia nn
Wanajambishwa hatari, kikosi kipanaMambo ni aje jamani? Betri itaendelea kuchomolewa ama vepe??
Dk 77
Mikia anatapatapa...tumbo la kuharaa
Yah! Nichomoe nisichomoe? 😅😅😅😅
Kuna nini kwani?Dah! Tumeunguza picha wazee!