Ligi ya Mabingwa Ulaya: Droo ya 16 Bora kufanyika leo Jumatatu Mchana

Ligi ya Mabingwa Ulaya: Droo ya 16 Bora kufanyika leo Jumatatu Mchana

Mara zote Babu yenu hupenda vitu vizuri tu ๐Ÿค—

Tukikomaa tunaenda hatua inayofuata maana tunaanzia Ugenini then tunamalizia Nyumbani Emirates.

Mungu ajalie tucheze Fainali kisha tutawazwe mabingwa wapya 2023/2024 ๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช
Babu wewe kiboko ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚

Na iwe kheri maana nikikumbuka fainali za 2006 sitokaa nisahau, nililia machozi!
 
Babu wewe kiboko ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚

Na iwe kheri maana nikikumbuka fainali za 2006 sitokaa nisahau, nililia machozi!
Pole sana Mjukuu

Sisi wengine Arsenal imetufanya tuwe Sugu

Kuna wakati hadi nilitamani nikachukue short course ya Ukocha nikam-replace Mzee Wenger
 
Pole sana Mjukuu

Sisi wengine Arsenal imetufanya tuwe Sugu

Kuna wakati hadi nilitamani nikachukue short course ya Ukocha nikam-replace Mzee Wenger
Mimi kuna wakati nilikuwa natamani kuingia uwanjani nicheze timu ipate ushindi kwa ajili yake, nampenda sana Wenger.
There was a time, timu ikifungwa naumia juu yake...
He is like a father to me! A loving father.
 
Mimi kuna wakati nilikuwa natamani kuingia uwanjani nicheze timu ipate ushindi kwa ajili yake, nampenda sana Wenger.
There was a time, timu ikifungwa naumia juu yake...
He is like a father to me! A loving father.
Ni kweli Mzee aliitoa mbali timu yetu lakini kuna wakati uvumilivu ulikuwa unatushinda mashabiki.

Imagine ile loss ya bao 8-2 dhidi ya Manunu, it real pained us

Wanasema Wanaume na Wanawake ambao ni mashabiki wa Arsenal huwa wavumilivu sana kwenye mahusiano yao na ndoa pia.

Bado naendelea kuandika kitabu, ikifika kukusanya Data nitapiga hodi kwako na kwa Mkwe wangu hapo nyumbani ๐Ÿ˜œ
 
Kutoka Nyon, Uswizi kutakuwa na Droo ya 16 bora katika ligi ya mabingwa Ulaya. Droo hiyo itafanyika saa nane mchana kwa saa za Afrika ya Mashariki. Je nani atapangwa na naniView attachment 2845876
Mungu ibariki porto hakika wale tembo hawana walijualo kwenye mashindano haya

Wana miaka 100 sasa hawajawai hata kusikia harufu ya ushindi

Sitaki povu
 
Ni kweli Mzee aliitoa mbali timu yetu lakini kuna wakati uvumilivu ulikuwa unatushinda mashabiki.

Imagine ile loss ya bao 8-2 dhidi ya Manunu, it real pained us

Wanasema Wanaume na Wanawake ambao ni mashabiki wa Arsenal huwa wavumilivu sana kwenye mahusiano yao na ndoa pia.

Bado naendelea kuandika kitabu, ikifika kukusanya Data nitapiga hodi kwako na kwa Mkwe wangu hapo nyumbani ๐Ÿ˜œ
Ati Manunu? ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚

Kwenye uvumilivu nathibitisha hilo kupitia mimi mwenyewe, teh!

Sasa itakuwaje Babu? Mkweo ni team Manunu na juzi alinikumbusha hiyo loss nikawasha moto akatulia.
 
Ati Manunu? ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚

Kwenye uvumilivu nathibitisha hilo kupitia mimi mwenyewe, teh!

Sasa itakuwaje Babu? Mkweo ni team Manunu na juzi alinikumbusha hiyo loss nikawasha moto akatulia.
Hao Manunu wana mdomo sana hao lakini miaka ya hivi karibuni tunawafunga sana sio kama enzi za Wenger

Kwahiyo Mkwe wangu amebahatika, could be 1 in milion

Mkiwa timu tofauti huwa ina raha yake, ili kunogesha Penzi unaweza kumwambia next game ukimfunga utampa kwa idadi ya hayo magoli........sijui nilitaka kusema nini ๐Ÿ™ˆ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ
 
Back
Top Bottom