Ligi ya Mabingwa Ulaya: Je, timu za EPL kukutana fainali?

Ligi ya Mabingwa Ulaya: Je, timu za EPL kukutana fainali?

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
N5YHR.png

Usiku wa jana imeshuhudiwa Timu ya Manchester City kutoka Uingereza ikishinda goli 2-0 dhidi ya PSG na kutinga Fainali

Usiku wa leo majira ya saa 4:00 Timu ya Chelsea itakuwa nyumbani kuikabili Real Madrid ili kuamua timu itakayoifuata City Fainali

Ili kutinga Fainali, Chelsea inahitaji sare tasa au ushindi wowote huku Madrid wakihitaji sare ya zaidi ya bao moja au ushindi wowote

  • Je, Waingereza watakutana Fainali au Zidane ataibuka kidedea?
 
Ngoja tusubr wachambuzi[emoji736][emoji736][emoji736]
 
madrid ikifikaga stage huwa wanacheza kufa na mupona.kwa hiyo leo lazima wasambaze kipigo
 
Jibu ni ndiyo zinakutana fainali zenyewe kama mwaka juzi, hata kombe la UROPA zitakutana zenyewe EPL
 
Arsenal ndio atatuangusha waingereza kwakwel.

Kama vp arsenal waamie Finland tuu hawatuuz sie waingereza
 
Back
Top Bottom