Mhm mbona wamekua paka tumadrid ikifikaga stage huwa wanacheza kufa na mupona.kwa hiyo leo lazima wasambaze kipigo
Ndio maana huwa mnachana mikeka. Mnalishana upupu mitaani.madrid ikifikaga stage huwa wanacheza kufa na mupona.kwa hiyo leo lazima wasambaze kipigo
Umedead wwChelsea leo anadead leo
Njoo tena na hii comment mkuuChelsea leo anadead leo
Washaandaa wimbo mpya kuwa Gudiola hana historia ya kukosa kombe.Njoo tena na hii comment mkuu
Usiwalaumu wamekaririshwa, walisahau hii sio madrid ya RonaldoNdio maana huwa mnachana mikeka. Mnalishana upupu mitaani.
Walikuwa wanatutisha na Ramos, hata hajaonekana maskini yake.Na hii ndo habari ya mijini hutaki kufa
CHELSEA BINGWA UEFA
Walikuwa wanatutisha na Ramos, hata hajaonekana maskini yake.Na hii ndo habari ya mijini hutaki kufa
CHELSEA BINGWA UEFA