Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Aah usiniambie bhana!Wewe ndio unanijulisha hapa..sio mpuuzi kufuatilia upuuzi!
Kwa hiyo umetuachia wapuuzi upuuzi wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah usiniambie bhana!Wewe ndio unanijulisha hapa..sio mpuuzi kufuatilia upuuzi!
Ukitaka kujua kama inamvuto au aina mvuto waulize wenye pub,na mabanda umiza je kati ya mechi z ulaya na za nyumbani zipi wanapata fedha nyingi watakuambiaKaka kwani ligi ya bongo tangu lini ikawa na mvuto sema ukweli wako…
Mpuuzi kajitokeza!Huna akili tangu lin yanga amzuie simba kufanya mazoez wakat alie wazuia nimeneja wauwanja
Lamdq,watu wa Tanga bhanaMpaka kunawakati nikasema wachezaji wa Dodoma lamda Swaumu Kali.
Kwa hiyo hiyo kanuni ya nini. Tatizo sio kuzuia tuu, kufanya fujo na kuwatoa mchezoni timu pinzani na kutishia usalamaSimba ni mapumbavu! Wapi iliandikwa usipofanya mazoezi kwenye uwanja wa mechi unasusia? Upumbavu mwingi sana!
Kufuatilia mpira wa Tanzania na siasa ni uwendawazimu!Kufatilia mpira wa Tanzania ni uwendawazimu !
Kumzuia simba asifanye mazoezi na kuufanyia vurugu msafara wa simba ni ushambaSimba ni mapumbavu! Wapi iliandikwa usipofanya mazoezi kwenye uwanja wa mechi unasusia? Upumbavu mwingi sana!
Hilo alihitaji mjadala!Aah usiniambie bhana!
Kwa hiyo umetuachia wapuuzi upuuzi wetu
Ok ngoja tuoneHilo alihitaji mjadala!
Last season tumechukua points sita kwa comfortably, aggregate ya 7-2Leo ndio unastuka? Huko nyuma hukuona timu za gsm zikimpa kaka yao free points au ulikuwa unafaidika?
😃😃😃😃😃ACHA weeh!!,🤣🤣🤣🤣🤣🏃Kadata kisa 6-0
Uingereza watu wanapigwa 7 nako hakuna ushindani?Kitendo Cha timu kufungwa 6 ni Moja ya indication hakuna ushindani
Mkuu hamia ulaya acha kushabikia upuuzi huo...Arsenal ashapigwa 8..manchester ashapigwa misimu ya karibuni na liverpool 7,5,4,3 ila hakuna mambo ya ajabu barcelona ashampiga madrid vipigo vya mbwa mwizi na hao ni mahasimu kweli hatujawahi ona vitendo vya ajabu watu wanapesa kweli kweli hakuna mdhamini mmoja kudhamini timu kumi....wala mmiliki wa Everton kuwa mjumbe wa baraza la wadhamini manchester city....mwanachama wa chelsea kuwa mkurugenzi mtendaji wa crystal palace...huwezi kuta wolves wanatoa kocha kuwapa Newcastle then wao wanabaki bila kocha ...wasemaji wa timu kuwa vituko kuliko vichaa ni upuuzi huo unaukuta bongo kwenye wapuuzi tu!Last season tumechukua points sita kwa comfortably, aggregate ya 7-2
This season first leg,tumekupasua,juzi umeleta visingizio kisa Camara na Beki wenu majeruhi,ukatimka......mechi nne mfululizo umepigwa..... nawewe kubali ni moja ya Tawi na unaharibu ligi maana huonyeshi ushindani
Kwa Leo nimekuelewa. Hao wote uliowataja Yanga, Simba, Bodi ya ligi matatizo yao yanalelewa na Huyo aliyeita wenzie wapuuzi. Mtu anayelinda brand ya taasisi yake asingeruhusu Simba wanyomwe haki yao Yuko kimya, asingeruhusu Mechi iahirishwe kiboya Yuko kimya Hadi anatuhumiwa yasiyostahili.Nani anaifuatilia ligi ya bongo nani anajali matokeo nani anajali mechi zinazochezwa ni wapuuzi wachache waliounga mkono upuuzi uliofanywa na Yanga na wapuuzi waliounga mkono Simba na bodi ya ligi.
Unaweza ita washamba...bongo mpira wake ni wa matokeo ya mfukoni na uchawi iko wapi ligi yenye mvuto iko wapi ligi ya kujishungulisha kununua wachezaji bei mbaya ili hali ligi ni ya utani wa jadi Yanga kumzuia Simba kufanya mazoezi na kupeleka basi bunju ni utani wa jadi Simba kugomea mechi ni utani wa jadi bodi ya ligi kuahirisha mechi ni utani wa jadi ni washamba toka mashambani bado wanahangaika na upuuzi wa mpira wa bongo!
Maana ya dhana nzima ya kugawa majukumu ni nini?Kwa Leo nimekuelewa. Hao wote uliowataja Yanga, Simba, Bodi ya ligi matatizo yao yanalelewa na Huyo aliyeita wenzie wapuuzi. Mtu anayelinda brand ya taasisi yake asingeruhusu Simba wanyomwe haki yao Yuko kimya, asingeruhusu Mechi iahirishwe kiboya Yuko kimya Hadi anatuhumiwa yasiyostahili.