Ligi ya Tanzania inavurugwa kwa maksudi, upangaji matokeo unatawala

Hilo halina ubishi,Simba kuna mechi ziliahirishwa kihuni tu,Nimemsikiliza Wambura anaongea pumba tu
 
Bongo ligi imejaa michuano ya ajabu ajabu isiyo na maana yoyote

Mara sijui muungano cup, mara sijui magufuli cup ujinga ujinga tuuu...

Na hapo bado mwakani tatizo litajirudia tena, uzwazwa huuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia tuangalie idadi ya timu ktk ligi yetu ni nyingi, kuna timu 20 wakati zingine kuna 16 au 17. Kumbuka pia Simba imecheza Mapinduzi Cup,Sport Pesa Cup, na Azam Confederation cup japo walitolewa mapema na wapo robo fainali klabu bingwa Afrika. Ligi kuu ilitakiwa timu 16 tu. Pia ligi kuu haina mdhamini timu nyingi zinapata shida kujikimu.
 
Jwanza Alhaly kimahesabu ametoka na hana chake champion. Lakini Simba leo anasafiri kwenda na wala haja kaa sehemu kumsubiri mpinzani. Lakini mazingira ya kongo magumu sana,kuna sehemu inabidi washuke ili watembee kwa miguu. Hii yote ili waasi wasisikie mlio wa gari maana wakisikia tu basi wawanakama na kuwatoa hadi helhela. This is Congo bro!
 
Mtoa mada,unadhani Al Ahly angekuwa anacheza ugenini Leo angeweza kucheza mechi ya ligi nchini mwake halafu asafiri ugenini nje ya nchi kucheza mechi jumamosi??

Sent using Jamii Forums mobile app
Je, hiyo ni kwa Afrika pekee? Mbona Barcelona walicheza jumamosi na Atletico Madrid, na jumatano hii(leo) wanakipiga ugenini na Manchester United?
 
Masikini hata ukimbeba vipi hana shukurani. Yanga hamuwezi kuchukua ubingwa,leo hii tunapigania nusu fainali ili nao waingizwe kimataifa,bado wanalalama
Mkuu naamini uko vizuri kwenye kuchanganua mambo zaidi ya hapa. Mleta mada yuko sahihi. Kuna muda tutangulize maslahi ya soka letu kwanzs. Hii ya timu kufikisha viporo 10 haijakaa sawa. Anyway unasema mnapigania Yanga acheze kimataifa vipi timu kama Biashara, Mbao, Singida na wengine wanatendewa haki kweli. Mwingine anapumzika wiki hadi mbili mwingine kila baada ya siku mbili ndio nini?!! Kwa hili hapana.
 
Kwa maslahi mapana ya soka letu la Tanzania Simba tumwache awakilishe nchi tuu maana tukipeleka Timu nne mwakani ligi yetu itakua miongoni mwa ligi 12 Bora Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…