Kutizama competition si rahisi, sababu unaweza kukuta ligi inaonekana ngumu kumbe wamekutana vilaza vitupu, muwakilishi wenu kimataifa ndio anathibitisha kama ligi ya kwenu nzuri au butu.Hapana mzee huwa hawaangalii timu moja ....but wanaangalia ..... competition ya ligue husika
Ingia kwenye website yao kaangalie simba ya ngapi africa na duniani urudi hapa tenaHapana mzee huwa hawaangalii timu moja but wanaangalia competition ya ligue husika
Said Tecno userLigi ya MAPENATI YA MICHONGO.View attachment 2106871
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Umeamua kukaza ubongo usingeleta na uzi sasaHapana mkuu.......hili shirika haitambui ata Kama Kuna timu inaitwa simba
Ingekua ....hivyo Basi South Africa wangekua no mbili ......coz wametoa tu nying kweny caf championKutizama competition si rahisi, sababu unaweza kukuta ligi inaonekana ngumu kumbe wamekutana vilaza vitupu, muwakilishi wenu kimataifa ndio anathibitisha kama ligi ya kwenu nzuri au butu.
Hapa tumepigwa.....kwa refa huyuLigi ya MAPENATI YA MICHONGO.View attachment 2106871
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Umeongea fact Sana mkuu, binafsi natamani hata TFF wangetengeneza hata tuzo ya heshima kwa Azam ......coz Hawa jamaa wameleta mageuz makubwa Sana kwenye sokaLigi ya bongo imekua sana hasa tukianzia uwekezaji pia pongezi nyingi nazani wanastahili Azam TV kwa kurusha live mechi za ligi hii imeipaisha sana ligi yetu pia mishahara ni mitamu kwa wachezaji thus y hata wachezaji wa madaraja ya juu kutoka nje ya tz wanacheza timu za kawaida au daraja la kwanza....