Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Huyo kidimbwi unaweza ukapaniki ukampa mitusi tuHuwa zinatolewa kwa kipindi fulani, yaani kama ilitoka 2015, ikaja kutoka 2022 basi, kipindi cha hapo kati choote hujumuishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kidimbwi unaweza ukapaniki ukampa mitusi tuHuwa zinatolewa kwa kipindi fulani, yaani kama ilitoka 2015, ikaja kutoka 2022 basi, kipindi cha hapo kati choote hujumuishwa.
Huyo aliyekuwa Rais wa CAF mla rushwa? Karia hakumpa chochote kweli 🤔Vigezo ni vingi ......ligi yetu ni bora kwasababu pia zifuatazwo
Ina fuatiliwa na watu weng east Africa.
Inakusanya wachezaji .....kutoka pande mbali mbali za Africa na nje ya. Africa
Mfano ....rejea ..dabi ya SIMBA NA YANGA ya mwaka juzi.....hadi rais wa CAF anakuja kuangalia
😂 Tumestahili mzee, miaka ya karibuni tumefanya vema ligi za caf huko, cameroon wahuni tu 😂Mi naona hata hiyo nafasi ya 10 bado haikustahili, ndio yale yale ya cameroon kuwabandika wachezaji uviko 🤣 makaveli10 wewe unasemaje? Sikweli? 🤣
😂 Tumestahili mzee, miaka ya karibuni tumefanya vema ligi za caf huko, cameroon wahuni tu 😂
Hivi tecno huwa haina sauti,haitoi picha au haifikishi meseji?Acha kuzubalia upumbavu!Wenye akili walete chombo weye mpalange ujidai unachambua?Hell no!Said Tecno user
Mtoa mada .....sijafanya research .....but hii ni taarifa kutoka shirika la takwimu za mpira.......Mbona naona hio website sijuwi nn inazungumzia strongest league in Africa na sio ulimwenguni Kama mleta mada anavodai. Kwanza nimepata mashaka duniani league ya Tanzania iwe ya 62 [emoji16][emoji16] what kitaifa tu fifa rankings sijuwi tupo wa ngapi huko so please mleta mada hebu rudia kufanya research
Kwa ligi yetu ilivyo ......tulipaswa kuwa hata wa 8 .......ligue yetu.....inafuatiliwa east Africa nzima.Mi naona hata hiyo nafasi ya 10 bado haikustahili, ndio yale yale ya cameroon kuwabandika wachezaji uviko [emoji1787] makaveli10 wewe unasemaje? Sikweli? [emoji1787]
Jizime Data tu, ila huyo Kolo ndo anawafanya mjione mpo kwa ligi Bora. Hii inatokana na hasa ubora wake when it comes to International Football Competitions.Siwaoni wakifanya maajabu kwa team ile
Ukitukana napungukiwa nini?Huyo kidimbwi unaweza ukapaniki ukampa mitusi tu
Hahah Uto mnajua kutukeraaa [emoji23][emoji23] tatizo lenu mnawekeza kwenye kelele nyingi na kikosi chenu cha kauka nikuvae.Chama la wana. Timu ya wananchi, timu ya wenye nchi na pia ndio timu yenye nchi.
Simba ni vijakazi tu, wakutumwa huku na kule kutuwakilisha.
GENTAMYCINE a.k.a the Mightier hujambo?
Ni bongo tu tunaona kufika robo finally ni mafanikio ila nnavyo fahamu mafanikio ni kuchukua ubingwa ndio maana leo Arsenal ni mtoto kwa Nottingham forest when it comes to UEFA champions leagueJizime Data tu, ila huyo Kolo ndo anawafanya mjione mpo kwa ligi Bora. Hii inatokana na hasa ubora wake when it comes to International Football Competitions.
Mara ngapi Uto wanaenda kimataifa wanaenda kulitia aibu Taifa na League yetu? Huyo Uto anayejitutumua ndani ya League ni wangapi Kwa Africa Club Rankings as compared to his rival Kolo?...
Tatizo la nchi hii ubishi mwingi but kwa ground Yanga ni Zero Brained in Football.
Ikumbukwe Mafanikio ni Mchakato...Ni bongo tu tunaona kufika robo finally ni mafanikio ila nnavyo fahamu mafanikio ni kuchukua ubingwa ndio maana leo Arsenal ni mtoto kwa Nottingham forest when it comes to UEFA champions league
Na mchakato sio mafanikioIkumbukwe Mafanikio ni Mchakato...
Kuwa na adabu....Hapana mkuu.......hili shirika haitambui ata Kama Kuna timu inaitwa simba
BrainwashedJizime Data tu, ila huyo Kolo ndo anawafanya mjione mpo kwa ligi Bora. Hii inatokana na hasa ubora wake when it comes to International Football Competitions.
Mara ngapi Uto wanaenda kimataifa wanaenda kulitia aibu Taifa na League yetu? Huyo Uto anayejitutumua ndani ya League ni wangapi Kwa Africa Club Rankings as compared to his rival Kolo?...
Tatizo la nchi hii ubishi mwingi but kwa ground Yanga ni Zero Brained in Football.
Ubora wa simba .....unatokana na ubora wa YANGA..... when it comes to the matter of competitionJizime Data tu, ila huyo Kolo ndo anawafanya mjione mpo kwa ligi Bora. Hii inatokana na hasa ubora wake when it comes to International Football Competitions.
Mara ngapi Uto wanaenda kimataifa wanaenda kulitia aibu Taifa na League yetu? Huyo Uto anayejitutumua ndani ya League ni wangapi Kwa Africa Club Rankings as compared to his rival Kolo?...
Tatizo la nchi hii ubishi mwingi but kwa ground Yanga ni Zero Brained in Football.