Ligi ya Uingereza kuanza kuunga mkono Ushoga tarehe 30 Novemba

Ligi ya Uingereza kuanza kuunga mkono Ushoga tarehe 30 Novemba

@AROON,

Nilichokiona huyo jamaa ana tatizo na makonda, na anaungana na hao watu tu kwa sababu anahisi anamkomoa makonda
 
Ushoga umekuwa kama ni silaha ya kuwaumiza na kuwadhihaki wahusika. Si jambo zuri.

Mheshimiwa mmoja akiishiwa kiki zote, anakimbilia kwa mashoga, maana anajua huko kila mtu atamuunga mkono kwa mizuka.

Kuna watu wamedhihakiwa mno kwa jina la makonda, ambao sijui kama kweli ni mashoga. Na hata kama wangekuwa ni mashoga hawakupaswa kumulikwa vile maana waliamua kufanya mambo yao kwa privacy kubwa.
Makonda nadhani ndio tatizo kwako
 
Jamaa thread zake anahamasisha ushoga, nimechunguza nahisi either ni gay or ni basha japo wote wanahesabiwa ni magay

Jamaa anautetea kwa nguvu zote, had kuna uzi mod wameufuta alikuwa anahamasisha wanaume kulana denda
Yaan mijitu kama hiyo ningekua mamlakani ingenisamehe.....hakuna lijitu duniani linaniuzi kama lishoga
 
Tatizo kubwa la mtu mweusi akili yake ndogo, hakuna namna ya kuwapinga hawa. Hebu fikiria mtu anaacha ubunge kwa hoja ya mgogoro ndani ya chama, sasa inahusiana nini na uwakilishi bungeni?. Kama tumekubali kuchukua tamaduni zao mbali mbali, ikiwemo dini, sioni Africa ikilikwepa hili.
Da! Sure jamaa kakacha uwakilishi kwa sababu weak sana.
 
Tutaona Waislam. Si wanajidai kutoa laana daily tutaona kama hawatoangalia mpira au kina Mo Salah, Ozil etc kama watahama ligi.
 
Hivi MTU akifanya ushiga wewe unaumia na Nini.. Mwanaume kamili hawezi tokwa povu na MTU kuwashoga as long as MTU hatamletea habari.. .. MTU anafanya ushoga ulaya wewe unapanik.
 
Nilishasema humu kuwa ushoga ni tendo linalompa utukufu ibilisi, kwa maana nyingine wazungu walishaweka tumaini lao kwa shetani kwamba ndiyo anawafanikishia mambo yao waweze ku survive hapa duniani. Tutarajie tu haya mambo kuwa hadharani zaidi kabla ya mpinga Kristo kujidhihirisha hivi karibuni na kuanza kwa kipindi cha dhiki kuu (tribulation) na kupelekea matukio ya mwisho wa nyakati kabla ya Yesu Kristo kusimika ufalme wake utakaodumu milele. Hiki ni kipindi cha kuwa macho zaidi kuliko wakati wowote ule.
 
Siku za mwshon mwanadamu atatenda sana uovu juu ya uso wa dunia atakua na maarifa makubwa sana kiasi cha kwamba ad kumkosoa muumba wake (kuna nyuz nyng sana umu kuhusu ujuaji)

2020 kiama kama unataka kubisha kabishane na baba yako
miaka ya 90 watu walianza kuamini mwisho wa dunia ni mwaka 2000, ila leo hii ni 2018, 18 years later.
 
Timu zote 20 za Ligi Kuu ya England, EPL, Novemba 30 mwaka huu zitaungana katika harakati za kuunga mkono mapenzi ya jinsia moja yaani ushoga na usagaji.

Katika kufanya hivyo, wachezaji wote watavaa vitambaa vyenye rangi maalumu za ushoga na usagaji kama zinavyoonekana hapo kwenye picha.

Tukio kama hilo litajirudia tena Disemba 5 mwaka huu ambapo vibendera vyote vya uwanjani, vitambaa vya manahodha, kimeza cha kuwekea mpira, bango la sehemu ya wachezaji kupeana mikono pamoja na kibao cha dakika za nyongeza na kubadilishia wachezaji, vyote vitakuwa na rangi za ushoga na usagaji.

Mabango ya matangazo uwanjani pamoja TV kubwa za uwanjani, vyote vitakuwa na matangazo ya kuhamasisha na kuunga mkono vitendo vya ushoga na usagaji.[emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]View attachment 935540View attachment 935541View attachment 935542


DUNIA INAZIDI KUANGAMIA KILA SIKU
Na watazamaji nao mtaunga mkono ushoga
 
Wiki hiyo EPL ntajifanya siijui tu.
#Bure kabisa hawa .
Ipo siku watapeleka ad kwnye Fifa games and PES
 
Back
Top Bottom