Karanga Mwitu
Member
- Nov 2, 2018
- 45
- 71
Mkuu hatukatai kwamba wazungu wako mbali kimtazamo wako vizuri, hii ishu haipo kawaida kama watu wanavyodhani...hii ishu ipo kiroho zaidi. Wazungu ndio binadamu wanaoshirikiana na shetani kwa asilimia kubwa, ndio maana sasa hivi nchini Marekani wanafundisha masomo ya kishetani mashuleni (Satanic Knowledge) na shetani anamtumia mzungu kwa sababu ana Ushawishi mkubwa duniani.Mkuu, mimi nadhani katika AKILI na LOGIC ndio rahisi zaidi kuunga mkono ushoga.
Maana wote wanaopinga ushoga hawana hoja inayoleta mantiki zaidi ya hadithi tu.
Nimekuwa naweka mijadala ya ushoga hapa jukwaani kwa makusudi nikijaribu kuelewa ni nini watu wanafikiri kuhusu ushoga, nikagundua wengi hawana substance katika upingaji wao.
Katika swala la ushoga, nadhani wazungu ni binadamu wenye upeo mkubwa zaidi duniani katika kuchanganua mambo anuwai.
Mzungu kuhamasisha ushoga ni mpango wa shetani kumkasirisha MWENYEZI MUNGU. ndo maana umesikia sana mambo ya Freemasons, Iluminat, na maswala mengine. Watu maarufu sana dunian ni washirika wa shetani. Kama umeshawahi kusikia kuna raisi wa nchi moja nimeisahau ameoa mwanamme Mwenzake, na anamtambulisha mbele za watu kiroho safi bila aibu. KWA HIYO NDUGU MAMBO YA KISHENZI WANAYOFANYA WAZUNGU, NYUMA YAKE YUPO SHETANI ANAWASHINIKIZA. LENGO KUBWA LA SHETANI NI KUMKASIRISHA MWENYEZI MUNGU. Hii kitu ya ushoga na mambo mengine machafu yapo kiroho zaidi.
Pengine unaweza usinielewe nilichokizungumza. HIVYO BASI USHOGA HATUWEZI KUUMALIZA KWA KULAUMU, KUTUMIA NGUVU, AU KUPIGA KELELE BALI KWA KUMUOMBA MUNGU, TUHIMIZE FAMILIA ZETU ZIMUABUDU MUNGU HAIJARISHI WEWE NI MKRISTO AU MUISLAMU. WATOTO WETU WAPATE MAADILI YA DINI NDIPO WATAWEZA KUISHINDA VITA HII.******MZUNGU ANA AKILI YA MAENDELEO LAKINI AKILI YA UTU HANA, WANAFANYA MAMBO YA KISHENZI KWA SHINIKIZO LA SHETANI, YAAN HAWA WAZUNGU HAWAMUOGOPI MUNGU KABISAAA******
HUO NDO MCHANGO WANGU!!