Ligi ya Uingereza kuanza kuunga mkono Ushoga tarehe 30 Novemba

Daaah nimeshuhudia mechi za Jana manahodha wamevaa, aisee.

Any way nimejipa mwezi mmoja wa kufikiri maamuzi magumu ya kuachana na mpira wa majuu nibaki na Simba yangu ya Tanzania tu.
 
Mkuu umeandika nin, futa huu ujinga aisee mpaka nimeona kichefuchefu

Huu ni ujinga kabisaa
 
Mechi za jana zote captains walivaa rainbow kwenye beji. Nilijua tu JF watu watalizungumzia
 
Ndio maana mikeka yetu inaharibika
 
Naelewa hilo. That's fine.

Kila mtu akiishi maisha yake bila kumbugudhi mwingine, basi maisha yatakuwa mepesi madhali tu kwamba hakuna haki ya mtu iliyovunjwa.

Lakini tukitaka kuanza kukagua marinda ya watu kujua, hapo ndipo malumbano yanapoanza.
Ushoga nauchukia pia kulazimishana kusapoti pia ni ufala
 
Hakuna kitabu kilichosema zamani walioana kama sisi tunavyofanya kama wale MUNGU aliwafanya vile sisi tunaooana atatufanya nini?
 
Daaah nimeshuhudia mechi za Jana manahodha wamevaa, aisee.

Any way nimejipa mwezi mmoja wa kufikiri maamuzi magumu ya kuachana na mpira wa majuu nibaki na Simba yangu ya Tanzania tu.
Fikiria pia na kuhama nchi maana hata Tanzania mashoga wapo wengi. Chukua hatua hamia sudan kwenye maadili mema!
 
Kwa hiyo umeamua ujitangaze Hadharani kabisa kuwa unaliwa?
 

Shwain kabisaa kumbe mmeja wengi huku hivi asee🤬
 
Nani kakulazimisha usapoti ushoga au kiherehere chako tu!
Unawashwa eeh! Sasa unazani wachezaji wote wanasapoti ushoga? Wanavyolazimishwa kuvaa mavitambaa ya ushoga unaona sawa? Najua huoni tatizo kwavile wewe ni shoga
 
Fikiria pia na kuhama nchi maana hata Tanzania mashoga wapo wengi. Chukua hatua hamia sudan kwenye maadili mema!
Mbona mtihani huu Sasa?

Hii dunia inavyokwisha kwa kasi tunakimbilia wapi boss.
 
Wewe utakuwa ni chakula cha wanna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…