GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Kwa Kukusaidia tu 65% ya hawa ( hao ) Watu wa TISS achilia mbali Mabosi zao Watatu na Waandamizi wao Wawili ( Mmoja Mdogo wangu wa Damu ) na Mwingine ni Rafiki yangu mkubwa tokea Chuoni SAUT Mwanza wananijua Physically na hata hii ID yangu ya GENTAMYCINE wanaijua.Sisi TIIISSS tunaendelea kufilter vitaarifa vyako, Ipo siku isyo na Jina utajaa
Mtani kuna muda ukitulia una Madini.Huo ndio ukweli, acha waendelee na hamasa waache kuwekeza kwenye academy, umitashumita na umiseta zitiliwe mkazo, mpira hauhitaji uongouongo unahitaji uwekezaji na kukuza vipaji toka watoto wakiwa wadogo mbape hajaibuka tu, waliandaliwa hao tatizo la viongozi ni long term plans hawana ndio maana unaona tunasuasua kila leo
Dkt. Pindu Chana anasoma uzi wako ujueUkiununia huu Ukweli Jinyonge Ufe!!!
What a Bogus Sports Minister we have.Dkt. Pindu Chana anasoma uzi wako ujue
WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Pindu Chana akimkabidhi Nahodha wa Yanga SC, Bakari Nondo Mwamnyeto Sh. Milioni 10 ambazo ni utekelezaji wa ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan. Rais Samia ametoa zawadi ya Sh. Milioni 5 kwa kila bao walilofunga Yanga kwenye ushindi wa 2-0 dhidi ya US Monastirienne
😅😅🙌Mpumbavu huwa Anaombewa Mkuu?
Micho kocha wa kawaida tu,hukuiona alivyoburuzwa na chamangwana na st George's yake pale uhuru,hata Uganda yenyewe Haina mpira wa maana ni ngengele ngingili tuSioni wa kumfunga kocha Micho
TZ haijawahi kuwa makini kiuwekezaji katika Taifa Stars.Huo ndio ukweli, acha waendelee na hamasa waache kuwekeza kwenye academy, umitashumita na umiseta zitiliwe mkazo, mpira hauhitaji uongouongo unahitaji uwekezaji na kukuza vipaji toka watoto wakiwa wadogo mbape hajaibuka tu, waliandaliwa hao tatizo la viongozi ni long term plans hawana ndio maana unaona tunasuasua kila leo
Siyo kwa Taifa StarsKikubwa ni kuwatia hamasa kama mhe.raisi wetu amewaahidi donge nono endapo watafuzu kwenye AFCON pia wajengewe Imani kubwa kwamba tunaweza ...na sio kuwakatisha tamaa
Maoni yenyewe ndio haya mkuu, tunatakiwa kuwa na msingi imara sio unakutana tu na mchezaji ana umri wa miaka 24 hujui kaanzia wapi ww unamuita timu ya taifa na kisha unamhamasisha akishinda analamba mil 500Kama mmeshaona udhaifu kwenye timu yetu ya Taifa, kuna room ya kutoa maoni.
Muhimu tuiombee heri Timu yetu
Miaka kadhaa nyuma, hizi Timu za Simba na Yanga zilikuwa na timu nzuri za Vijana kuanzia miaka 9 - 18 nadhani.Maoni yenyewe ndio haya mkuu, tunatakiwa kuwa na msingi imara sio unakutana tu na mchezaji ana umri wa miaka 24 hujui kaanzia wapi ww unamuita timu ya taifa na kisha unamhamasisha akishinda analamba mil 500
Timu za taifa za vijana zinachaguliwa na mtu mmoja, tena mtu mwenyewe anabugi tuu kila mwanaka🤣🤣🤣🤣Huo ndio ukweli, acha waendelee na hamasa waache kuwekeza kwenye academy, umitashumita na umiseta zitiliwe mkazo, mpira hauhitaji uongouongo unahitaji uwekezaji na kukuza vipaji toka watoto wakiwa wadogo mbape hajaibuka tu, waliandaliwa hao tatizo la viongozi ni long term plans hawana ndio maana unaona tunasuasua kila leo