Ligi yetu inazidi kukuwa ila TFF inashuka, naona inaisaidia Simba SC

Ligi yetu inazidi kukuwa ila TFF inashuka, naona inaisaidia Simba SC

1.Kwahiyo kwa kipindi hiki ambacho hizo timu bado hazijakaa sawa mlitaka zicheze na timu gani ili mlidhike?

2. Nani alizizuia hizo timu kutolipa mapema madeni ya wachezaji waliokuwa wanawadai hadi kufungiwa na FIFA kusajili? Au kwakuwa na nyie ni wale matapeli mnaoshitakiwa fifa kila siku na wachezaji mnawatetea matapeli wenzenu?
TFF na bodi ya ligi wanafahamu kuwa Kuna timu za ligi hazijakamilisha usajili wa wachezaji wake muhimu kwa sababu wanazozifahamu, haiwezekani timu hizo zote ziangiwe kucheza na timu Moja (Simba) zicheze harakaharaka. Kasi sio kuahilisha mechi zao angalau basi zicheze na timu tofauti. Yaani tabora na Simba na faunten gates na mashujaa au JKT Tanzania,
 
Simba SC imesajili wachezaji na kutangaza wachezaji wenye mikataba na timu nyingine lakini Simba haikukutwa na hatia yoyote mbele ya TFF.

Ligi imeanza lakini Simba imepangiwa timu zenye migogoro ya usajili, Tabora united na Fountain gate kwenye mechi zake za awali kabla timu hizo hazijatatua matatizo yao ya usajili ili Simba ipate ahueni.

TFF hamuoni aibu, ligi inakuwa lakini TFF haikui.

Soma Pia: TFF mnawaogopa Nini Simba, wafungieni kusajili kama kanuni inavotaka
Wivu
 
Kwa hiyo malalamiko yako ni Simba kupata muunganiko? Unapendekeza hao Tabora United na Fountain Gate walitakiwa wacheze na nani wakati huu ligi inapokuwa imeanza? Au TFF iwasubiri hadi wamalize usajili, waanzie raundi ya tano watakapokuwa tayari?
Pamoja n tff kuendesha ligi ambayo marefa, Wachezaji Na makocha wzawa hawauziki nje ya nchi
 
Pamoja n tff kuendesha ligi ambayo marefa, Wachezaji Na makocha wzawa hawauziki nje ya nchi
Mayele, Inonga, Tanimu, Sakho ni miongoni mwa wachezaji waliouzwa nje ya nchi kutoka ligi hii hii miaka hii miwili
 
Mayele, Inonga, Tanimu, Sakho ni miongoni mwa wachezaji waliouzwa nje ya nchi kutoka ligi hii hii miaka hii miwili
Kaka wale sio products za TFF, walipitaga hapa akina Nonda Shaban wakiwa na malengo yao. Products za TFF ni Mzamiru, Nkane, Zimbwe, Manula, Lawi, nk.
 
Back
Top Bottom