Wivu ni DALILI ya umasikin...Ni wazi sasa ligi yetu inazidi kukosa ubora, timu nyingi ukiacha Simba na Yanga, ni zinazidi kuwa dhaifu, angalia tu zinavyocheza mechi za ndani na za kimataifa.
Azam imetolewa na timu kibonde kutoka ligi dhaifu ya Ethiopia, Singida ambayo inaonekana ni bora imefungwa na JKU ya Zanzibar.
TAHADHARI: Watu wasijione wanapiga vibonde goli nyingi wakajisifu, kimataifa wanaweza kuishia tena raundi ya pili
Kama ni dhaifu na simba nao wapige watu goli tano tano mpak msimu uishe. Aalfu tusikimbilie kuongea mapema huenda ni bahati za mwanzo mwanzo mbeleni mambo yakawa utopwaxNi wazi sasa ligi yetu inazidi kukosa ubora, timu nyingi ukiacha Simba na Yanga, ni zinazidi kuwa dhaifu, angalia tu zinavyocheza mechi za ndani na za kimataifa.
Azam imetolewa na timu kibonde kutoka ligi dhaifu ya Ethiopia, Singida ambayo inaonekana ni bora imefungwa na JKU ya Zanzibar.
TAHADHARI: Watu wasijione wanapiga vibonde goli nyingi wakajisifu, kimataifa wanaweza kuishia tena raundi ya pili
Uko sahihi sana mkuu nilikua natamani ligi ianze niwe najichekea nikipitia post za simba na yangaBongo tuna utajiri wa mashabiki na wadhamini wa mpira ila vipaji vya uhakika hatuna. Huu ushabiki ungeendana na vipaji tungefika mbali. Tujipe tu moyo kwamba bongo kuna biashara kubwa ya mpira ndo maana wadhamini ni wengi.
Mimi natammiss Admin wa Ruvu Shooting kule twitter 🤣🤣Uko sahihi sana mkuu nilikua natamani ligi ianze niwe najichekea nikipitia post za simba na yanga
Msemaji wenu utopololo ndiye alisema sisi ni nani tumpinge?!Atakwambia Hilo ni kombe la loosers
kama taifa tumewekeza sana kwa simba na yanga na kusahau timu zingine. hazioni umuhimu wa kutunisha misuli ilhali hata bunge, rais, wizara na serikali kwa ujumla macho yao yako yanga na simba tu.Ni wazi sasa ligi yetu inazidi kukosa ubora, timu nyingi ukiacha Simba na Yanga, ni zinazidi kuwa dhaifu, angalia tu zinavyocheza mechi za ndani na za kimataifa.
Azam imetolewa na timu kibonde kutoka ligi dhaifu ya Ethiopia, Singida ambayo inaonekana ni bora imefungwa na JKU ya Zanzibar.
TAHADHARI: Watu wasijione wanapiga vibonde goli nyingi wakajisifu, kimataifa wanaweza kuishia tena raundi ya pili
Hakukuwa na haja yakuzunguka kama ulitaka uiseme yanga ungeisema tu! Wivu na husuda vimekujaa baada yakuona shughuli ya magoli mengi kiwanjani...[emoji28]
Huyu ni mdudu mtu!Bora uwe mchawi tujue moja sio mahusda aliokua nayo jamaa!
Yanga ina miaka 25 haijawahi kufikia hatua ya makundi club bingwa...
Kama Caf wanasema Yanga ni bora kwa nini wameanza round ya kwanza kwenye CAF CL?
Kwani ameongelea timu au ligi?Yanga ina miaka 25 haijawahi kufikia hatua ya makundi club bingwa...
Kama Caf wanasema Yanga ni bora kwa nini wameanza round ya kwanza kwenye CAF CL?
Jamaa kazunguka mno, faraja inatafutwa kwa Nguvu sana niamini mimiHakukuwa na haja yakuzunguka kama ulitaka uiseme yanga ungeisema tu! Wivu na husuda vimekujaa baada yakuona shughuli ya magoli mengi kiwanjani...[emoji28]