Ligi yetu inazidi kupungua ubora kila mwaka. Timu dhaifu, hakuna ushindani

Ligi yetu inazidi kupungua ubora kila mwaka. Timu dhaifu, hakuna ushindani

Ni wazi sasa ligi yetu inazidi kukosa ubora, timu nyingi ukiacha Simba na Yanga, ni zinazidi kuwa dhaifu, angalia tu zinavyocheza mechi za ndani na za kimataifa.

Azam imetolewa na timu kibonde kutoka ligi dhaifu ya Ethiopia, Singida ambayo inaonekana ni bora imefungwa na JKU ya Zanzibar.

Watu wasijione wanapiga vibonde goli nyingi wakajisifu, kimataifa wanaweza kuishia tena raundi ya pili
Hivi timu kama Coastal Union unaichukulia poa Mkuu?
 
Ni wazi sasa ligi yetu inazidi kukosa ubora, timu nyingi ukiacha Simba na Yanga, ni zinazidi kuwa dhaifu, angalia tu zinavyocheza mechi za ndani na za kimataifa.

Azam imetolewa na timu kibonde kutoka ligi dhaifu ya Ethiopia, Singida ambayo inaonekana ni bora imefungwa na JKU ya Zanzibar.

Watu wasijione wanapiga vibonde goli nyingi wakajisifu, kimataifa wanaweza kuishia tena raundi ya pili
Kwahiyo, ligi yetu itaongezeka ubora endapo Yanga atafungwa? Maana, nikionacho, hakuna lolote zaidi ya kusikitishwa na 5G
 
John wanaume huwa hatuna sifa hizo huwa tunatoa credits sio kama mamanzi [emoji28][emoji119] wewe kubali uwezo wa yanga acha kuzunguka mibuyu huko utakutana na wachawi..!
Ukweli kwamba timu zetu nyingi zinafanya vizuri nyumbani ila CAF CL zinatolewa asubuhi?

Azam alimfunga Kitayose goli 4 ndani ya dk 20, ila CAF akatolewa asubuhi

Yanga waliweka rekodi ya kucheza mechi nyingi unbeaten mwaka jana ila CAF CL wakatolewa asubuhi....Nazungumzia facts sio ushabiki
 
So far Young Africans hatuna mpango wa kutengeneza status ya the best underdog of the tournament kuachieve ukubwa kama walivyofanya kolowizards. Young Africans tunataka kuupata ukubwa kwa kuwin tournament and that is the plan. Ilifail mwaka jana kwenye CAFCCL, tukalearn our lesson; msimu huu attempt ni kuwin CAFCL.

Nyie kolowizards endeleeni na ukubwa wenu at best underdog level. Mtakuja kushtuka tunaparade kikombe barabara ya msimbazi mkiwa na ukubwa wenu huohuo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Toa kwanza nuksi ya kutofika makundi CL kwa miaka 25 ndio uanze kuongea kuhusu kubeba kombe
Viongozi wako wanasem malengo ya timu ni kufika makundi, wewe unasema kuchukua kombe
 
Nitakuelewa ukiniambia ligi inashuka ubora ksbb ya timu fulani kuandaliwa mazingira.
.
Ona Ngao ya jamii Singida walipiga boli na magoli yalifungwa matatu yote yakazimwa (wasingefunga mngesema goli gani wamefunga zikakataliwa?) Wakatolewa kwa matuta.

Ikaja final goli zikafungwa zikazimwa wazi wazi(labda zisingefungwa mngesema goli gani zilizozimwa?). Wakamtengenezea hata kibahati bahati. Ndani ya dakika 90 boli linasukumwa na wananchi, karia alikuwa mdogo.
Kabisa
 
Unazungumzia mashindano mawili tofauti..!! Mwenzio anazungumzia LIGI ya NBC wewe unazungumzia mashindano ya CAF..!! Ukikua utaacha
Kipimo cha ubora wa ligi yetu ni kufanya vizuri kwenye mashindano ya CAF CL,
Kama timu inashinda goli nyingi ila kila mwaka CAF inatolewa hatua za awali, ligi ni dhaifu
 
Kama vip mtutafutie ligi nyingine manake nongwa zimezidi mtu akila umeme mara tano nongwa timu dhaifu..
Mtu akipigiwa mwingi mpaka aombe mpira uishe dhaifu tuamisheni ligi ili mbakie wenyewe shwaini..
Simba Ligi yake ni ligi ya mabingwa Afrika, CAF CL na Super league ya CAF
 
Ni wazi sasa ligi yetu inazidi kukosa ubora, timu nyingi ukiacha Simba na Yanga, ni zinazidi kuwa dhaifu, angalia tu zinavyocheza mechi za ndani na za kimataifa.

Azam imetolewa na timu kibonde kutoka ligi dhaifu ya Ethiopia, Singida ambayo inaonekana ni bora imefungwa na JKU ya Zanzibar.

Watu wasijione wanapiga vibonde goli nyingi wakajisifu, kimataifa wanaweza kuishia tena raundi ya pili
Imekwenda hiyooooo
 
Kutolewa robo fainali mara 4 ni ligi bora..!!
Angalau Simba imefika robo fainali, kufikia robo fainali hata mara moja tu ni mafanikio makubwa, kuna timu zina karibia miongo mitatu hazijafikia hata hatua ya makundi tu....makundi tu ni ndoto kubwa kwao, imagine
 
Yanga ina miaka 25 haijawahi kufikia hatua ya makundi club bingwa...

Kama Caf wanasema Yanga ni bora kwa nini wameanza round ya kwanza kwenye CAF CL?

Nisome vizuri, wewe umeponda ligi kwamba si bora, nami nimekujibu kuwa kwa mujibu wa CAF ligi ya TZ ni moja ya ligi bora...
 
Ni wazi sasa ligi yetu inazidi kukosa ubora, timu nyingi ukiacha Simba na Yanga, ni zinazidi kuwa dhaifu, angalia tu zinavyocheza mechi za ndani na za kimataifa.

Azam imetolewa na timu kibonde kutoka ligi dhaifu ya Ethiopia, Singida ambayo inaonekana ni bora imefungwa na JKU ya Zanzibar.

Watu wasijione wanapiga vibonde goli nyingi wakajisifu, kimataifa wanaweza kuishia tena raundi ya pili
Laliga na Bundasiliga umewahi kuzisikia hizi ligi huko kijijini kwenu?
 
Back
Top Bottom