Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
-
- #81
La Liga na Bundesliga zina Madrid, Barca, Bayern ambazo zinatawala lakini pia zinatawala UEFA pia,. Hapa timu inayosemwa ni kubwa haijawahi kufika hatua ya makundi kwa miaka 25Laliga na Bundasiliga umewahi kuzisikia hizi ligi huko kijijini kwenu?
CAF walisema Simba ni bora sio ligo yetu ni boraNisome vizuri, wewe umeponda ligi kwamba si bora, nami nimekujibu kuwa kwa mujibu wa CAF ligi ya TZ ni moja ya ligi bora...
Ligi dhaifu haiwezi kutoa timu bora, tusidanganyane hapaCAF walisema Simba ni bora sio ligo yetu ni bora
Ingekuwa bora basi Yanga ambayo ni bingwa asingepangwa na hao CAF kuanzia hatua za e mwanzo kufuzu CAF CL, au kama unamaanisha ni bora kuliko ligi ya Djibout sawa
RABAT ya nabi ni bingwa wa Morocco na wameanzia preliminary stage kama yanga...na ligi yao ni namba 2 kwa ubora Africa.CAF walisema Simba ni bora sio ligo yetu ni bora
Ingekuwa bora basi Yanga ambayo ni bingwa asingepangwa na hao CAF kuanzia hatua za e mwanzo kufuzu CAF CL, au kama unamaanisha ni bora kuliko ligi ya Djibout sawa
Simba ina miaka mingapi haijafika nusu fainali au fainali jiulize hata kimoyomoyo utagundua hata simba haijafikia malengo ambayo ni kuleta kombe kwenye ardhi ya Tanzania.Yanga ina miaka 25 haijawahi kufikia hatua ya makundi club bingwa...
Kama Caf wanasema Yanga ni bora kwa nini wameanza round ya kwanza kwenye CAF CL?
Mie nadhan ni ligi yenye hamasa kubwa na c vinginevyoNisome vizuri, wewe umeponda ligi kwamba si bora, nami nimekujibu kuwa kwa mujibu wa CAF ligi ya TZ ni moja ya ligi bora...
Mie nadhan ni ligi yenye hamasa kubwa na c vinginevyo
Yuko mbona sasaa hvi anatumia handle ya JKT juzi tulicheka sana wakati yanga na jkt wanachezaMimi natammiss Admin wa Ruvu Shooting kule twitter [emoji1787][emoji1787]
Hahaha nilikuwa sijui. Nitamfuata huko JKTYuko mbona sasaa hvi anatumia handle ya JKT juzi tulicheka sana wakati yanga na jkt wanacheza
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Anasema "mm nilisema tusichezenao leo wataharibu malengo yetu ona sasa kimetupata"yupe jamaa ni mpuuzi sana..Hahaha nilikuwa sijui. Nitamfuata huko JKT