Nikifuatilia ligi kuu ya Uingereza naona matimu makubwa kama Man utd, Chelsea, Man City , Arsenal nk yanavyoteseka bila kujali ukubwa wao kwa wingi wa Mashabiki na Fedha .
NImegundua wenzetu wa Ulaya HAKUNA MAELEKEZO KWA MAREFA KUWA MECHI HII LAZIMA FULANI ASHINDE
WENZETU WAMENYOOKA SANA.
Sisi huku inaonekana kama ni dhambi timu zingine kuzifunga Simba na Yanga , inaonekana dhambi timu nyingine kuchukuwa ubingwa isipokuwa Simba na Yanga tu.
1. TFF , Wadau wa soka na wanasiasa hebu acheni timu zipambane zenyewe kwa haki.
2. Viongozi wa vilabu vya Simba na Yanga acheni kuzirubuni timu ndogo. Pia acheni kuwarubuni waamuzi.
3. Wachezaji wazawa kwa timu zote acheni kuzihujumu timu zenu sababu ya mahaba ya usimba na uyanga (Tunawaona sana mnapocheza na hizi timu kubwa).
Unakuta beki anajidai kuukimbiza mpira unaoelekea golini kwake halafu hata haongezi speed kuuwahi mpira hadi unavuka mstari wa goli na yeye kujilaza chali kuwa amepambana sana, mwingine tunaona anacheza rafu ya makusudi tu ili ipatikane penalty au atolewe kwa red card.
1. TFF IKIAMUA LIGI YETU INYOOKE KWA MISINGI YA HAKI INAWEZEKANA KABISA.
2. TAKUKURU / SERIKALI IKIAMUA KUKOMESHA RUSHWA MICHEZONI INAWEZEKANA MPIRA WETU TZ UKAWA WA MAANA SANA
NImegundua wenzetu wa Ulaya HAKUNA MAELEKEZO KWA MAREFA KUWA MECHI HII LAZIMA FULANI ASHINDE
WENZETU WAMENYOOKA SANA.
Sisi huku inaonekana kama ni dhambi timu zingine kuzifunga Simba na Yanga , inaonekana dhambi timu nyingine kuchukuwa ubingwa isipokuwa Simba na Yanga tu.
1. TFF , Wadau wa soka na wanasiasa hebu acheni timu zipambane zenyewe kwa haki.
2. Viongozi wa vilabu vya Simba na Yanga acheni kuzirubuni timu ndogo. Pia acheni kuwarubuni waamuzi.
3. Wachezaji wazawa kwa timu zote acheni kuzihujumu timu zenu sababu ya mahaba ya usimba na uyanga (Tunawaona sana mnapocheza na hizi timu kubwa).
Unakuta beki anajidai kuukimbiza mpira unaoelekea golini kwake halafu hata haongezi speed kuuwahi mpira hadi unavuka mstari wa goli na yeye kujilaza chali kuwa amepambana sana, mwingine tunaona anacheza rafu ya makusudi tu ili ipatikane penalty au atolewe kwa red card.
1. TFF IKIAMUA LIGI YETU INYOOKE KWA MISINGI YA HAKI INAWEZEKANA KABISA.
2. TAKUKURU / SERIKALI IKIAMUA KUKOMESHA RUSHWA MICHEZONI INAWEZEKANA MPIRA WETU TZ UKAWA WA MAANA SANA