Ligi zimeisha hawa ndio wachambuzi wangu bora wa michezo2020

Tatizo la Shafii maelezo marefu mno halafu wenye akili tu ndio tunaweza kumwelewa mtu kama una ubongo mdogo huwezi mwelewa shafii
Ni kweli mkuu shafii dauda ni mchambuzi mzuri sana lakini kujua kama ni mchambuzi mzuri inahitaji ubongo mkubwa kama tundulisu
 
Tatizo la Shafii maelezo marefu mno halafu wenye akili tu ndio tunaweza kumwelewa mtu kama una ubongo mdogo huwezi mwelewa shafii
Ni kweli mkuu shafii dauda ni mchambuzi mzuri sana lakini kujua kama ni mchambuzi mzuri inahitaji ubongo mkubwa kama tundulisu
Mtu asiyejua au kuzngatia miongozo ya kaz anawezaje kufanya kaz vizuri?
 
Gift Macha ni mchambuzi au mtangazaji? Hamna kitu mule bora arudi Mwanaspoti! Ally Mayai Tembele anajua!
 
Yule dogo mwembamba anavaaga miwani wa Azam TV sijui anaitwa nani. Kwangu mimi anaenda sambamba na Ally Mayay

Yule tall sana naye anajitahidi, japo anakwama kwama sana kwenye kuongea + manjonjo mengi
Ally kamwe
 
Wachambuz Bora wa michezo
Ambao wakikaa pamoja unapata
Kitu kamili n Hawa

Dauda
Ally mayai
Ibrahim maestro
Edga kibwana

Hii ndo ilikua sports extra
Huchok kuiskiliza

Ila ndo hvo kila mmoja
Kaenda kwenye maslah mazur
 
Harafu we jamaa yaani Kitenge nae ni mchambuzi wa mpira,we jamaa uko serious kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…