Mashabiko wa simba tokeni humu[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]
Mwambie muda badoVyura tunatesekaa
View attachment 2017670
Hii inaweza ikawa kweli [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Namungo 1 kikundi cha masela 0
Pole!!! Namungo 1 Utopolo 0!!!!! Mayele kawa mapele!!! Hakuna jinsi, indiketa iliwashwa jana, mlikuwa mnapasha siti yetu joto, itabidi mtupishe!!!! Usiyempenda kawasha indiketa!!!!..Bangala anampa..Mukoko..Mukoko..kwa Djuma shaban 'soja ya bhemba'..Fei toto..anampa FM Kalala ...Kalala kwa FM maliki..Faridi kwa Moloko..Moloko kwa Kibwana..Fei toto..goooooooooaaaaal..
Fei toto..totooo..anapiga semi volley ya hatari hapa,Na kuwapa uongozi wananchi..
Anyways!! Nilikua na test mitambo in Mpenja voice..
Kila la kheri chama langu katika kampeni ya kuchukua point 3 kila mechi pamoja na kutoa burudani kwa wana lindi.
Naimani tutashinda Inshallaaah!!.
Yule jamaa ni box la sungwi tu,hana maajabu yoote. Wale wazee wa Mayele style sijui wako wapi.Mayele kafichika jamani ehh
Kwamba sio foul? Acha ukudaRefa kafanya yake!
Mkuu vuta subira ni suala la muda tu hiki kikundi cha masela wataanza kuilaumu tffHii inaweza ikawa kweli [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Refa kaamua kuchagua namba 1, na namba 3 japo leo msela hajashikaVitu ambavyo ni lazima vitatokea kipindi cha pili
1. Red card itaenda kwa mchezaji wa namungo
2. Clearly penalty namungo wanapata refa anapeta
3. Kama kawaida mayele anashika tena afu yanga inapewa penalty
4. Fouls watazocheza yanga zitakua za kuonywa tu kwa mdomo huku namungo wakipigwa card
5. Goli la offside yanga watafunga, refa ataruhusu
6. Goli halali namungo itafunga, refa atasema offside
Ilijulikana mapema kabisa kuwa lazima mpate Penalty..!!!Kwamba sio foul? Acha ukuda
Ni ungese tu.Hakuna refa hapa