Ligii kuu Tanzania Bara: Namungo FC 1-1 Yanga SC

Ligii kuu Tanzania Bara: Namungo FC 1-1 Yanga SC

..Bangala anampa..Mukoko..Mukoko..kwa Djuma shaban 'soja ya bhemba'..Fei toto..anampa FM Kalala ...Kalala kwa FM maliki..Faridi kwa Moloko..Moloko kwa Kibwana..Fei toto..goooooooooaaaaal..

Fei toto..totooo..anapiga semi volley ya hatari hapa,Na kuwapa uongozi wananchi..


Anyways!! Nilikua na test mitambo in Mpenja voice..

Kila la kheri chama langu katika kampeni ya kuchukua point 3 kila mechi pamoja na kutoa burudani kwa wana lindi.

Naimani tutashinda Inshallaaah!!.
Pole!!! Namungo 1 Utopolo 0!!!!! Mayele kawa mapele!!! Hakuna jinsi, indiketa iliwashwa jana, mlikuwa mnapasha siti yetu joto, itabidi mtupishe!!!! Usiyempenda kawasha indiketa!!!!
 
Mayele kafichika jamani ehh
Yule jamaa ni box la sungwi tu,hana maajabu yoote. Wale wazee wa Mayele style sijui wako wapi.

Nadhani baada ya hii mechi lile swala la Uto kujihakikishia ubingwa litaisha sasa.
 
Vitu ambavyo ni lazima vitatokea kipindi cha pili

1. Red card itaenda kwa mchezaji wa namungo
2. Clearly penalty namungo wanapata refa anapeta
3. Kama kawaida mayele anashika tena afu yanga inapewa penalty
4. Fouls watazocheza yanga zitakua za kuonywa tu kwa mdomo huku namungo wakipigwa card
5. Goli la offside yanga watafunga, refa ataruhusu
6. Goli halali namungo itafunga, refa atasema offside
Refa kaamua kuchagua namba 1, na namba 3 japo leo msela hajashika
 
Back
Top Bottom