Ubingwa upo palepale man [emoji3]Zile kauli za ubingwa lazima nadhani, mida si mrefu tutaacha kusikia mtaani.
Ni negotiations ambayo ilikua inafanyika ambapo refa alionekana kutokubali offer ambayo iko mezani kulingana na madeni ambayo hapo awali niliwaambia anayo so kwa pesa ile isingeweza kukidhiMkuu sanahani Naomba Uelezee Kidogo kwa sisi ambao hatuangalii Live...
Nini Kimetokea...
DahPenalty ya wazi Namungo wananyimwa
Sidhani kama ni transaction. Nahisi huyu refa ni pure Yanga hivyo baada ya kuona mambo magumu kwa Yanga akabidi atafute tukio la kuisadia timu yakeYanga wanasawazisha dakika ya 81 baada ya transaction kufanyika
Jamaa kacheza mpira wakati feisal akikokota ndani ya box,refa akafunika!Mkuu Ilikuwaje? Sio Goli halali?
Tunataka Tufaidi na sisi!
Ila Kama Na mimi Nimeumia vile kwa jinsi ninavyosoma comments za watu!
Kiufupi ni kwamba Namungo wameonewa..haikuwa penalti halali,mchezaji wa namungo alicheza mpira,refa kaweka tuta..aisee acha tu tuwe wasindikizaji.Mkuu Ilikuwaje? Sio Goli halali?
Tunataka Tufaidi na sisi!
Ila Kama Na mimi Nimeumia vile kwa jinsi ninavyosoma comments za watu!
Nakuruhusu fatilia vizuri humu utanijua ni shabiki wa timu ipi. Nafuria kupata point lakini ukweli utabakia pale pale refa katubeba kwa mbelrko ya chuma mkuuWw
Wewe siyo Yanga...wewe ni mikia
Makolo mshaanza...hii penati 😎
Mbeleko fcMakolo mshaanza...