Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 442
<br />Wale vijana wanaotafutaga majimama mmeusikia ugeni huo? Karibu sana mgeni.
<br /
vya bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Wale vijana wanaotafutaga majimama mmeusikia ugeni huo? Karibu sana mgeni.
<br />hodi nimeingia kwa fujo nipokeeni
<br />hodi nimeingia kwa fujo nipokeeni
hodi nimeingia kwa fujo nipokeeni
Haya twasubiri fujo zakohodi nimeingia kwa fujo nipokeeni
Oooh! Mbona umeingia kwa nguvu ya Shampeni hivooo!?
[emoji23][emoji23][emoji23] nani kaifufua thread? Mi ata sikuangalia tareheHuyu ni member humu tangu 2011 si wa jana wala juzi.
[emoji23][emoji23][emoji23] nani kaifufua thread? Mi ata sikuangalia tarehe
KweliUmeona eeh! STUKA! Mie kuna threads humu hutaka kucomment haraka sana halafu ukiangalia ni ya lini unakuta ni mwaka 47! Basi naachana nazo, lakini si kila thread ya mwaka 47 imepoteza uhai nyingi tu bado zina uhai wa muda mrefu.
Hana serengeti boys cku hz Ameona afufue thread. Ni mawazo yangu tu [emoji87] [emoji87] [emoji87][emoji23][emoji23][emoji23] nani kaifufua thread? Mi ata sikuangalia tarehe
Karibu sana.hodi nimeingia kwa fujo nipokeeni