Lijue chaguo la Samson kwenye jeshi la Israel “the Samson option”

Lijue chaguo la Samson kwenye jeshi la Israel “the Samson option”

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Hii Ni sera ya kiulinzi ya taifa la israel na jeshi lake ambayo inasisitiza na kutamka wazi kuwa ikiwa Israel itashambuliwa na aui na hapohapo marafiki zake wakubwa kama USA uk German Italy France na Canada hawatamsaidia wakiona taifa la Israel linakaribia kuangukia mikononi mwa adui huku rafiki zake wakiwa Hawafanyi lolote basi ataamua kufanya Kama Samson mnadhiri wa mungu alivyofanya

Israel itazitwanga nchi hizo rafiki mabomu ya nuklia ili waangamie wote na ndio maana wakaipa sera hiyo chaguo la Samson au kwa kimombo the Samson option which is a massive nuclear deterrence and strikes to his friends who failed to help him so he will choose to go down with them all.

Kwa kulijua Hilo na kuliogopa ndio maana USA na washirika wake hawawezi kuacha Israel iangamie wataisaidia tu kakuogopa hiyo sera ya samon option karibuni kwa nyongeza
 

Attachments

  • Screenshot_2019-10-31-07-55-44-1.png
    Screenshot_2019-10-31-07-55-44-1.png
    264.3 KB · Views: 5
Sio israelí tu. Usa Russia Uk Germany zote zina mbinu hizo mbadala endapo siku ikipigwa kabisa mambo yanajipa. Mfano Russia nyuklia bomb ziko tayari muda wote zimelekezwa kwa wahasimu wake siku akipigwa vitu vina vina auto initiating mabomu yanaenda kutwanga. Sema kila nchi ndio ina sera yake kuhusu hiyo mbinu
 
MOSHE DAYAN , JENERALI WA ISRAEL AMEWAHI KUSEMA YAFUATAYO

'Israel must be like a mad dog, too dangerous to bother.' I consider it all hopeless at this point. We shall have to try to prevent things from coming to that, if at all possible. Our armed forces, however, are not the thirtieth strongest in the world, but rather the second or third. We have the capability to take the world down with us. And I can assure you that that will happen before Israel goes under."
 
Leo umenijengea uwezo
Hii Ni sera ya kiulinzi ya taifa la israel na jeshi lake ambayo inasisitiza na kutamka wazi kuwa ikiwa Israel itashambuliwa na aui na hapohapo marafiki zake wakubwa kama USA uk German Italy France na Canada hawatamsaidia wakiona taifa la Israel linakaribia kuangukia mikononi mwa adui huku rafiki zake wakiwa Hawafanyi lolote basi ataamua kufanya Kama Samson mnadhiri wa mungu alivyofanya

Israel itazitwanga nchi hizo rafiki mabomu ya nuklia ili waangamie wote na ndio maana wakaipa sera hiyo chaguo la Samson au kwa kimombo the Samson option which is a massive nuclear deterrence and strikes to his friends who failed to help him so he will choose to go down with them all.

Kwa kulijua Hilo na kuliogopa ndio maana USA na washirika wake hawawezi kuacha Israel iangamie wataisaidia tu kakuogopa hiyo sera ya samon option karibuni kwa nyongeza
 
Hii Ni sera ya kiulinzi ya taifa la israel na jeshi lake ambayo inasisitiza na kutamka wazi kuwa ikiwa Israel itashambuliwa na aui na hapohapo marafiki zake wakubwa kama USA uk German Italy France na Canada hawatamsaidia wakiona taifa la Israel linakaribia kuangukia mikononi mwa adui huku rafiki zake wakiwa Hawafanyi lolote basi ataamua kufanya Kama Samson mnadhiri wa mungu alivyofanya

Israel itazitwanga nchi hizo rafiki mabomu ya nuklia ili waangamie wote na ndio maana wakaipa sera hiyo chaguo la Samson au kwa kimombo the Samson option which is a massive nuclear deterrence and strikes to his friends who failed to help him so he will choose to go down with them all.

Kwa kulijua Hilo na kuliogopa ndio maana USA na washirika wake hawawezi kuacha Israel iangamie wataisaidia tu kakuogopa hiyo sera ya samon option karibuni kwa nyongeza
ndio shida ya kuwa brainwashed na imani za ajabu ajabu za kusujudia Israel
 
Ngoja Wayahudi Wa Bunju B na Wapalestina wa Mbagala waje tusikie maoni yao.
Aisee!! Nimejikuta nacheka kwa sauti kuhusu wayahudi wa Bunju na Mbagala, nimekumbuka machizi fulani wako kama sikosei Uganda nao wanajiita wayahudi wa Uganda na eti walitaka wapewe pasport za wayahudi wakakae huko, weeee! wayahudi og waliwatimulia mbali!!
 
Hadithi/Simulizi ya Samson,aliamua kufa pamoja na waliokuwa wakishuhudia mateso yake pamoja na waliomtesa.
Israel akishambuliwa ataipiga Saudia na Waarabu wote jirani bila kujali nani kashiriki au hajashiriki.
 
Back
Top Bottom