Lijue deni la Matrilioni ya dola ambalo China inadaiwa na Wamarekani

Lijue deni la Matrilioni ya dola ambalo China inadaiwa na Wamarekani

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Katika karne ya 19 wakati huo China ikitawaliwa na mfalme (Kipindi cha Qing Dynasty), Serikali ya China ya wakati huo ilitafuta fedha za kujenga reli kutoka jimbo la Hunan hadi mji wa Guangzhou.

Ili kupata fedha iliamua kuuza treasury bonds kwa watu wa nchi za West, wakiwemo wamarekani, waingereza, wafaransa na wajerumani. Bond hiyo ilibidi iwe ya miaka 40 na riba ya 5% kila mwaka.

Baada ya kuanguka ufalme, serikali ya China iliyofuata (Republic of China) iliendelea kulipa deni mdogomdogo

Hata hivyo baada ya kutokea vita vya wenywe kwa wenyewe na matokeo yake chama cha Kikomunist cha China chini ya Mao Ze Dong kutwaa madaraka ya kiutawala, serikali ikagoma kulipa deni hilo.

Hata hivyo serikali hiyo ya China ilibanwa na uingereza mwaka 1987 chini ya mwanamama Margreth Thatcher kuwa iwapo China haitolipa deni hilo kwa wananchi wa Uingereza walionunua bond hizo basi haitofungua soko la Uingereza kwa China na pia Uingereza ingeweza kusitisha mpango wake wa kuirudisha Hong Kong kwa Uchina. Wachina wakalipa waingereza takriban dola milion 23

Hata hivyo Wachina wakaendelea kugoma kuwalipa wananchi wa Marekani mpaka sasa. Sasa hivi wamarekani wenye kudai wamelivalia njuga suala hili na wanataka serikali yao ihakikishe China inalipa hili deni.

Iwapo China italipa hili deni, basi linakaribiana sana kiukubwa na deni ambalo wachina wenyewe wanaidai Marekani katika masuala hayohayo ya treasury bonds.

Kwa maelezo zaidi sikiliza hii clip:

 
Treasury bond yenyewe ya mwaka 1911 ilipotolewa ni hii hapa:

1597751354483.png


Kwa taarifa zaidi juu ya histtoria ya mkopo huo soma hapa:
Imperial Chinese Government
 
Hebu imagine hiyo Bond ilikuwa ikiuzwa Pound 100 tu za mwaka 1911 kila bond
Watu walipokwenda mahakamani kushitaki ili China ilipe mwaka 2005, thamani ya hiyo bond pamoja na interest kwa miaka yote hiyo takriban 94 ilikuwa na thamani ya dola milion 27.75!, ndiyo maana thamani ya bond za wanaodai inafikia dola Trilion moja na Ushehe

Hata sisi Watanzania tunaojenga reli kwa mikopo tuwe makini sana, Iwapo tutashindwa kulipa haya madeni tukadefault baada ya miaka kadhaa deni litakuwa kubwa kwa Matrilion kibao halafu nchi hii itauzwa!

Hili somo la hili deni la wachina lituingie kwelikweli, na inapokuja suala la deni mtu huna ujanja lazima utalipa tu utake usitake it is a matter of time!
 
Katika karne ya 19 wakati huo China ikitawaliwa na mfalme (Kipindi cha Qing Dynasty), Serikali ya China ya wakati huo ilitafuta fedha za kujenga reli kutoka jimbo la Hunan hadi mji wa Guangzhou.

Ili kupata fedha iliamua kuuza treasury bonds kwa watu wa nchi za West, wakiwemo wamarekani, waingereza, wafaransa na wajerumani. Bond hiyo ilibidi iwe ya miaka 40 na riba ya 5% kila mwaka.

Baada ya kuanguka ufalme, serikali ya China iliyofuata (Republic of China) iliendelea kulipa deni mdogomdogo

Hata hivyo baada ya kutokea vita vya wenywe kwa wenyewe na matokeo yake chama cha Kikomunist cha China chini ya Mao Ze Dong kutwaa madaraka ya kiutawala, serikali ikagoma kulipa deni hilo.

Hata hivyo serikali hiyo ya China ilibanwa na uingereza mwaka 1987 chini ya mwanamama Margreth Thatcher kuwa iwapo China haitolipa deni hilo kwa wananchi wa Uingereza walionunua bond hizo basi haitofungua soko la Uingereza kwa China na pia Uingereza ingeweza kusitisha mpango wake wa kuirudisha Hong Kong kwa Uchina. Wachina wakalipa waingereza takriban dola milion 23

Hata hivyo Wachina wakaendelea kugoma kuwalipa wananchi wa Marekani mpaka sasa. Sasa hivi wamarekani wenye kudai wamelivalia njuga suala hili na wanataka serikali yao ihakikishe China inalipa hili deni.

Iwapo China italipa hili deni, basi linakaribiana sana kiukubwa na deni ambalo wachina wenyewe wanaidai Marekani katika masuala hayohayo ya treasury bonds.

Kwa maelezo zaidi sikiliza hii clip:

Kama ndo hivyo bc na sisi tuidai Kenya imefanya ubabaishaji kwenye kuvunjika EAC badala ya kugawana mali ilipora na kubaki nazo zote
 
Katika karne ya 19 wakati huo China ikitawaliwa na mfalme (Kipindi cha Qing Dynasty), Serikali ya China ya wakati huo ilitafuta fedha za kujenga reli kutoka jimbo la Hunan hadi mji wa Guangzhou.

Ili kupata fedha iliamua kuuza treasury bonds kwa watu wa nchi za West, wakiwemo wamarekani, waingereza, wafaransa na wajerumani. Bond hiyo ilibidi iwe ya miaka 40 na riba ya 5% kila mwaka.

Baada ya kuanguka ufalme, serikali ya China iliyofuata (Republic of China) iliendelea kulipa deni mdogomdogo

Hata hivyo baada ya kutokea vita vya wenywe kwa wenyewe na matokeo yake chama cha Kikomunist cha China chini ya Mao Ze Dong kutwaa madaraka ya kiutawala, serikali ikagoma kulipa deni hilo.

Hata hivyo serikali hiyo ya China ilibanwa na uingereza mwaka 1987 chini ya mwanamama Margreth Thatcher kuwa iwapo China haitolipa deni hilo kwa wananchi wa Uingereza walionunua bond hizo basi haitofungua soko la Uingereza kwa China na pia Uingereza ingeweza kusitisha mpango wake wa kuirudisha Hong Kong kwa Uchina. Wachina wakalipa waingereza takriban dola milion 23

Hata hivyo Wachina wakaendelea kugoma kuwalipa wananchi wa Marekani mpaka sasa. Sasa hivi wamarekani wenye kudai wamelivalia njuga suala hili na wanataka serikali yao ihakikishe China inalipa hili deni.

Iwapo China italipa hili deni, basi linakaribiana sana kiukubwa na deni ambalo wachina wenyewe wanaidai Marekani katika masuala hayohayo ya treasury bonds.

Kwa maelezo zaidi sikiliza hii clip:


Hapana mkuu Marekani ndiyo inayodaiwa na China.Soma taarifa ifuatayo.

US Debt to China, How Much, Reasons Why, and What If China Sells
Illustration of three men around a global map moving oil rigs, container vessels and other game pieces to signify U.S. debt to China

•••Why China Is America's Biggest Banker

BY
KIMBERLY AMADEO
REVIEWED BY
SOMER G. ANDERSON
Updated July 25, 2020
The U.S. debt to China was $1.08 trillion in May 2020.1 That's more than 15% of the $6.8 trillion in Treasury bills, notes, and bondsheld by foreign countries. The rest of the $26 trillion national debt is owned by either the American people or by the U.S. government itself.
 
Hapana mkuu Marekani ndiyo inayodaiwa na China.Soma taarifa ifuatayo.

US Debt to China, How Much, Reasons Why, and What If China Sells
Illustration of three men around a global map moving oil rigs, container vessels and other game pieces to signify U.S. debt to China

•••Why China Is America's Biggest Banker

BY
KIMBERLY AMADEO
REVIEWED BY
SOMER G. ANDERSON
Updated July 25, 2020
The U.S. debt to China was $1.08 trillion in May 2020.1 That's more than 15% of the $6.8 trillion in Treasury bills, notes, and bondsheld by foreign countries. The rest of the $26 trillion national debt is owned by either the American people or by the U.S. government itself.
Umepindua meza!
 
Hapana mkuu Marekani ndiyo inayodaiwa na China.Soma taarifa ifuatayo.

US Debt to China, How Much, Reasons Why, and What If China Sells
Illustration of three men around a global map moving oil rigs, container vessels and other game pieces to signify U.S. debt to China

•••Why China Is America's Biggest Banker

BY
KIMBERLY AMADEO
REVIEWED BY
SOMER G. ANDERSON
Updated July 25, 2020
The U.S. debt to China was $1.08 trillion in May 2020.1 That's more than 15% of the $6.8 trillion in Treasury bills, notes, and bondsheld by foreign countries. The rest of the $26 trillion national debt is owned by either the American people or by the U.S. government itself.
mkuu mada umeisoma kweli?.
mbona mleta uzi ajakanusha kwamba china anadai.
 
Hapana mkuu Marekani ndiyo inayodaiwa na China.Soma taarifa ifuatayo.

US Debt to China, How Much, Reasons Why, and What If China Sells
Illustration of three men around a global map moving oil rigs, container vessels and other game pieces to signify U.S. debt to China

•••Why China Is America's Biggest Banker

BY
KIMBERLY AMADEO
REVIEWED BY
SOMER G. ANDERSON
Updated July 25, 2020
The U.S. debt to China was $1.08 trillion in May 2020.1 That's more than 15% of the $6.8 trillion in Treasury bills, notes, and bondsheld by foreign countries. The rest of the $26 trillion national debt is owned by either the American people or by the U.S. government itself.
Msome jamaa tena
 
Kama ndo hivyo bc na sisi tuidai Kenya imefanya ubabaishaji kwenye kuvunjika EAC badala ya kugawana mali ilipora na kubaki nazo zote
Kuna mgawanyo ulifanywa na kusimamiwa na jamaa moja aliyekuwa anaitwa Dr. Victor wa Uswisi na kila nchi ilipopata halali yake labda wengine mlikuwa wadogo au hamkuwa mmezaliwa ndio maana ya huu upotoshaji mnaoufanya hapa.
 
Hapana mkuu Marekani ndiyo inayodaiwa na China.Soma taarifa ifuatayo.

US Debt to China, How Much, Reasons Why, and What If China Sells
Illustration of three men around a global map moving oil rigs, container vessels and other game pieces to signify U.S. debt to China

•••Why China Is America's Biggest Banker

BY
KIMBERLY AMADEO
REVIEWED BY
SOMER G. ANDERSON
Updated July 25, 2020
The U.S. debt to China was $1.08 trillion in May 2020.1 That's more than 15% of the $6.8 trillion in Treasury bills, notes, and bondsheld by foreign countries. The rest of the $26 trillion national debt is owned by either the American people or by the U.S. government itself.
Si ndio hapo mkuu, hata mimi nilikuwa najua Uchina ndio ilikuwa inadai Merika madeni lukuki and not the other way around!
 
Si ndio hapo mkuu, hata mimi nilikuwa najua Uchina ndio ilikuwa inadai Merika madeni lukuki and not the other way around!
Ila kinachoendelea duniani sometimes is difficult to understand. Si unajua viwanda vingi belonging to the NWO in the US literally vilikuwa dismantled na kuhamishiwa China including many asserts.Sasa katika mazingira haya ni nani hasa kaikopesha Marekani,is it China per se au the NWO or other entities ambazo ni allies wa the NWO.Sometimes ni ngumu kidogo kuelewa the inte-relationships.
 
Back
Top Bottom