iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,927
Mkewe kama vile ana asili ya morocco,nadhani morocco watamuhifadhi jammeh,
Hawezi kwenda Nigeria kwa kuwa ana kumbukumbu ya charles taylor,Nigeria walimrubuni kumpa hifadhi,kumbe wamemuwekea mtego anaswe na ICC..
Na yule mama wa ICC kwao ni Gambia ,nadhani atatoa arrest warrant faster
Hawezi kwenda Nigeria kwa kuwa ana kumbukumbu ya charles taylor,Nigeria walimrubuni kumpa hifadhi,kumbe wamemuwekea mtego anaswe na ICC..
Na yule mama wa ICC kwao ni Gambia ,nadhani atatoa arrest warrant faster