Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,063
- 735
Hivi kwani kuwa Mmasai ni sifa? Wilaya ya Meru ina Wameru na Wamasai pia (Waarusha). Kwa hiyo yeye kutokea Meru kijiografia hakumfanyi asiwe Mmasai kwani hata Chalinze kuna Wamasai wake.
Huyu EL ana dhambi nyingi sana za kumhukumu nazo, lakini haya ya ukabila ni muelekeo mbaya maana wapo Wabunge wengi wanaowakilisha majimbo waliyohamia tu na kuishi kwa muda. Tuachane na mambo ya ukabila.
Mtake! msitake! Habari ndo hiyo. Lowasa siyo Mmasai. Alilelewa kwa babu yake baada ya baba yake kumkana mama yake kuwa mimba aliyokuwa nayo ni yake. Baba wa mwanamke akamkubali mwanaye baada ya kulaghaiwa na jamaa aliyempa mama yake Lowasa ujauzito. lakini kiasilia jamaa Edward ni Mmeru. wanaokataa na wakatae,,, habari ndo hiyo! Wasalaamu
Kwamba ameporomoka kisiasa hata kule alikokuwa akiungwa mkono wamemstukia ndiyo maana wanahoji kuingia kwake katika Jimbo la Monduli kama mzawa ili apate kura za wananchi.Si hilo tuu kwamba muda wote ameuhadaa umma wa Watanzania kwamba yeye ni mmasai ili tuone kwamba anafuata nyayo za marehemu Sokoine kumbe sivyo!!Yeye ni fisadi aliyejivisha ngozi ya watawala wengine.Ndo maana dhana ya ukabila ikawa imeingia na si vinginevyo,Kwani wapiga kura wake ndiyo wanahoji kabila lake na wala siyo Wana JF.
Naona utabiri wako wa 2010 ukaja tokea 2015 .Nadhibitisha hapa kuwa kaka zake Teddy Lowasa ni akina Ndosi na ukoo huo uko Meru na pia kuna wachaga akina Ndosi hilo halina uBISHI. Kwa Baba yake mzazi kumkataa ni kweli kwani sio mtoto wa ndoa ALIPATIKANA kiana na Baba yake alikuwa Bosi wake huyo mzee wa Kimeru kwenye ofisi ya Provisional Commissioner(PC) wa Northen Province kule Arusha kwa wakati ule na hilo halina ubishi labda mwenyewe TEDDY kwa vile yuko na anadunda full combat na ulinzi wa Waziri Mkuu MSTAAFU PERIOD! Kwa huu mzahaa wa JK tusishangae akaibukia kugombea uchaguzi kupitia chama fulani kama ule mkataba wao na JK hautatimizwa na hili laweza kutokea 2010 au tugawane nchi vipande vipande!