Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,063
- 735
Hivi kwani kuwa Mmasai ni sifa? Wilaya ya Meru ina Wameru na Wamasai pia (Waarusha). Kwa hiyo yeye kutokea Meru kijiografia hakumfanyi asiwe Mmasai kwani hata Chalinze kuna Wamasai wake.
Huyu EL ana dhambi nyingi sana za kumhukumu nazo, lakini haya ya ukabila ni muelekeo mbaya maana wapo Wabunge wengi wanaowakilisha majimbo waliyohamia tu na kuishi kwa muda. Tuachane na mambo ya ukabila.
Hiyo siyo maana yake.
Ukikaa Dar huwi Mzaramo.