Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Katika maisha yetu ya kila siku, mawasiliano hutusaidia kujenga uhusiano kwa kuturuhusu kushiriki uzoefu wetu, na mahitaji yetu, na hutusaidia kuungana na wengine. Ni kiini cha maisha, huturuhusu kuelezea hisia, kupitisha habari na kubadilishana mawazo. Sote tunahitaji kuwasiliana.
Hata hivyo katika baadhi ya maeneo Tanzania kumekuwa na changamoto za kupata mawasiliano, hatua inayowakosesha Wanachi haki yao ya msingi ya kuwasiliana.
Kata ya Likawage, Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi inachangamoto ya mtandao hasa Vijiji vya Nainokwe na Liwiti.
Hali ambayo inasababisha watu kujitega sehemu na wengine kupanda milimani ili kupata mawasiliano ambayo nayo yanapatikana kwa kukatikatika.
Tunaomba serikali iboreshe mawasiliano ili tuwe tunaongea na simu hata tukiwa ndani ya nyumba.
Hata hivyo katika baadhi ya maeneo Tanzania kumekuwa na changamoto za kupata mawasiliano, hatua inayowakosesha Wanachi haki yao ya msingi ya kuwasiliana.
Kata ya Likawage, Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi inachangamoto ya mtandao hasa Vijiji vya Nainokwe na Liwiti.
Hali ambayo inasababisha watu kujitega sehemu na wengine kupanda milimani ili kupata mawasiliano ambayo nayo yanapatikana kwa kukatikatika.
Tunaomba serikali iboreshe mawasiliano ili tuwe tunaongea na simu hata tukiwa ndani ya nyumba.