Traveller X
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 271
- 305
[emoji106]Angaikeni vijana wenu wazaliwe kwenye pesa nao
umeongea point mkuuUnaweza kuwa na pesa lakini ukakosa furaha na amani moyoni.
Wenye pesa na fulaha moyoni huwa hawatambi kwa kuonesha pesa zao hadhalani hivi.
Wanajua kuna watu masikini wenye uhitaji wa hela wataumia mioyo yao kwa kuziona pesa wakati hawana uhakika wa mlo mmoja kwa siku.
Ivani alitamba sana na pesa zake lakini amekufa akiwa kijana na masikini aliowatambia bado wanaishi na ni wazima wa afya njema.
Kama unapesa za ziada basi saidia masikini na ndugu wenye uhitaji.
La sivyo akina Dangote wangemwaga mapesa yao barabarani ili watembee juu yake.
Mara nyingi pesa za maonesho ni pesa zenye mizengwe mizengwe na mizungu.
LoserUnaweza kuwa na pesa lakini ukakosa furaha na amani moyoni.
Wenye pesa na fulaha moyoni huwa hawatambi kwa kuonesha pesa zao hadhalani hivi.
Wanajua kuna watu masikini wenye uhitaji wa hela wataumia mioyo yao kwa kuziona pesa wakati hawana uhakika wa mlo mmoja kwa siku.
Ivani alitamba sana na pesa zake lakini amekufa akiwa kijana na masikini aliowatambia bado wanaishi na ni wazima wa afya njema.
Kama unapesa za ziada basi saidia masikini na ndugu wenye uhitaji.
La sivyo akina Dangote wangemwaga mapesa yao barabarani ili watembee juu yake.
Mara nyingi pesa za maonesho ni pesa zenye mizengwe mizengwe na mizungu.
Maneno ya kujifariji.....mwenye pesa sio mwenzio hata asipokua na amani but sio mwenzio....hiyo amani asipokua nayo yeye basi watoto wake wataishi kwa furaha na amani.....Tafuta pesa kijana hayo maneno mengine ni kujifariji tu[emoji2] [emoji2] [emoji2]Unaweza kuwa na pesa lakini ukakosa furaha na amani moyoni.
Wenye pesa na fulaha moyoni huwa hawatambi kwa kuonesha pesa zao hadhalani hivi.
Wanajua kuna watu masikini wenye uhitaji wa hela wataumia mioyo yao kwa kuziona pesa wakati hawana uhakika wa mlo mmoja kwa siku.
Ivani alitamba sana na pesa zake lakini amekufa akiwa kijana na masikini aliowatambia bado wanaishi na ni wazima wa afya njema.
Kama unapesa za ziada basi saidia masikini na ndugu wenye uhitaji.
La sivyo akina Dangote wangemwaga mapesa yao barabarani ili watembee juu yake.
Mara nyingi pesa za maonesho ni pesa zenye mizengwe mizengwe na mizungu.
Km namuona Wema anavyo mtupia jicho huyo bwana mdogoDiamond sasa hivi ataitwa Babu maana huyo Dogo kwa mkwanja huo atakuwa ashaanza kutembeza rungu kama kipepe.
Mimi pesa ninayo nimetoa maoni tu.Maneno ya kujifariji.....mwenye pesa sio mwenzio hata asipokua na amani but sio mwenzio....hiyo amani asipokua nayo yeye basi watoto wake wataishi kwa furaha na amani.....Tafuta pesa kijana hayo maneno mengine ni kujifariji tu[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Loser..Mimi pesa ninayo nimetoa maoni tu.
Kuishia kuonesha pesa kwenye mtandao ni ulimbukeni tu wa ujana.
Ulishaona wale matajiri watu wazima wenye busara zao wanaojulikana wanaonesha pesa hadharani mtandaoni ?
Sio vema kwa mtu mwenye busara kuonesha maburungutu hadhalani wakati kuna watu masikini hata uwezo wa kupata uji wa unga wa muhogo unawashinda.
Nazungumzia watu masikini na sio wewe na mimi, watoto wa mitaani, waliotelekezwa na familia, wakimbizi wa vita, wagonjwa.
Nenda Darful ukaone jinsi watu wanavyo jianika jangwani wakisubiri kufa kwa kukosa maji na chakula.
Nimesema Sio Vema Kwa Watu Wenye Busara Kufanya Hivyo, Nadhani Umenielewa.
Bosi vipi...Loser..