Like Toefl n IELTS exams, Tanzania's UDSM to start offering international accredited Kiswahili language exams globally

Like Toefl n IELTS exams, Tanzania's UDSM to start offering international accredited Kiswahili language exams globally

Medical council of Tanganyika wanaitaka hiyo certificate kwa madaktari wote ambao wanataka kufanya kazi Tanganyika na wanatoka nchi ambazo si wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki.
20191023_135508.jpeg
 
ametoa hapa eliakeem ! akili ya mafi!
61st Graduation Ceremony
Printer-friendly versionPDF version
Date and time:
Wed, 2019-07-17 10:00
Location / Venue:
Chancellor's Court, University of Nairobi
Share: Facebook
Una dhiki sana wewe mzee. 61st graduation ceremony ya UoN ilikuwa mwaka huu wa 2019. Ukiangalia address ya hiyo image inasoma 59th graduation ceremony-2017. Acha nikuache na majungu yako.
 
Una dhiki sana wewe mzee. 61st graduation ceremony ya UoN ilikuwa mwaka huu wa 2019. Ukiangalia address ya hiyo image inasoma 59th graduation ceremony-2017. Acha nikuache na majungu yako.
R u trying to say the two fotos r different? Then those same people were awarded 2nd PHDs after 2 years n happened to dress n pose exactly like during the 2017 graduation! Unfortunately none of the PHDs confered had anything to do with Kiswahili language! 🤣
 
Boss, una uhakika kwamba unataka ushahidi wa Phd holder kutoka UDSM akisema kwamba Ghadaffi alikuwa rais wa Yemen? Mara ya mwisho nilipopost hiyo video hapa Jf ilifungwa kwa muda. Itisha tena uone nikichomoa betri. [emoji38]
Weka hapa tumuone huyo mwenye PhD ya kiswahili toka UDSM.... Weka huo ushahidi hacha maneno...
 
Weka hapa tumuone huyo mwenye PhD ya kiswahili toka UDSM.... Weka huo ushahidi hacha maneno...
Boss, hebu soma hizo comment za awali vizuri, hapo nilikuwa namaanisha yule mkemia na Phd yake. Aliyesema kwamba Muamar Ghadaffi ni rais wa Yemen.
 
That's not binding just like English you can decide which English to study other prefer KU , Canada,US and Australia and among those countries no single country can say for you to be recognised as English speaker you must be accredited by UK or US,as for our case Swahili originates from both countries, Kenya can not claim to own Swahili same case with Tanzania therefore Kenya can also do that.
 
That's not binding just like English you can decide which English to study other prefer KU , Canada,US and Australia and among those countries no single country can say for you to be recognised as English speaker you must be accredited by UK or US,as for our case Swahili originates from both countries, Kenya can not claim to own Swahili same case with Tanzania therefore Kenya can also do that.
Not when u have a Tanzanian as the most selling author in Kiswahili literature in Kenya aside the fact the guy that wrote ur KCPE swahili syllabus. Ur argument defeats logic.

BTW do u have a swahili that u call Kenyan when most of ur higher learning institutions embrace the Tanzanian literature maestros! The likes of Kezilahabi! It will take at least a century till u put sheng in writtings.

 
Boss, hebu soma hizo comment za awali vizuri, hapo nilikuwa namaanisha yule mkemia na Phd yake. Aliyesema kwamba Muamar Ghadaffi ni rais wa Yemen.
Weka hiyo clip boss mbona una weweseka? Ni msomi wa kemia sio kiswahili, hivyo kilicho kuwa kina zungumzwa au kujadiliwa ni kiswahili na taaluma hiyo hapo UDSM...

Ukashindwa kuonesha kiswahili na wahitimu wa hiyo taaluma jinsi walivyo kilaza au vilaza ila umeenda wajaza wataalamu mengine na kuwa visha taaluma hisiyo yakwao...
 
That's not binding just like English you can decide which English to study other prefer KU , Canada,US and Australia and among those countries no single country can say for you to be recognised as English speaker you must be accredited by UK or US,as for our case Swahili originates from both countries, Kenya can not claim to own Swahili same case with Tanzania therefore Kenya can also do that.
Acha ujinga wewe mgikuyu!

Kiswahili hakikuwahi kuwa na chimbuko toka Kenya!

Kilicholetwa ni muunganiko wa lugha fulani za kibantu zilizopita Congo zikakatiza pwani ya Kenya kisha zikatua Tanganyika ya kipindi hicho!

Lugha hizo za kibantu zilipofika Tanganyika zikachanganyika na msamiati kiduchu wa Kiarabu ndipo kikazaliwa kitu kinaitwa "Kiswahili" [swahil`].

Miaka yote hiyo Kiswahili kikazidi kukua na kustawi kikiwa hapa hapa Tanzania. Kikakua na kuboreshwa kwa kasi kubwa!

Ndio maana huko kwenu Kenya mmebaki na makapi ya lugha za kibantu yaliyotoka Congo ambayo eti mnayaita 'Kiswahili'.

Kiswahili kimezaliwa na kukua Tanzania!
 
Wazo nzuri sana hili, ila kikwazo itakuwa ni 'credibility'. Maanake UDSM ndio chuo kikuu ambacho watu huwa wanatoka na degree, masters na Phd zao ila utawasikia wakisema vitu vya ajabu ajabu, kama eti Muamar Ghadaffi alikuwa rais wa Yemen.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
That's not binding just like English you can decide which English to study other prefer KU , Canada,US and Australia and among those countries no single country can say for you to be recognised as English speaker you must be accredited by UK or US,as for our case Swahili originates from both countries, Kenya can not claim to own Swahili same case with Tanzania therefore Kenya can also do that.
Wakenya wengi wana jisikia aibu kuongea kiswahili kwa kuwa wanaisi mapungufu katika lugha wanayo izungumza...

Wana wasifia wamombasa kuwa wana ongea kiswahili kizuri kuliko wakenya wengi...

Hata umkute na digrii au masters kichwani lakini kiswahili kina wapiga chenga... Mfano ni humu wana jisifia kiswahili lakini lugha wanayo itumia muda mwingi ni kizungu kwa kuwa kiswahili wana mapungufu nacho na kiswahili chao ni cha kujifunza darasani tofauti na watanzania walio wengi huku tukitofautiana lafudhi kutokana na makabila tuliyo NAYO...
 
Not when u have a Tanzanian as the most selling author in Kiswahili literature in Kenya. Ur argument defeats logic.

BTW do u have a swahili that u call Kenyan when most of ur higher learning institutions embrace the Tanzanian literature maestros! The likes of Kezilahabi! It will take at least a century till u put sheng in writtings.

wallah bin wallah is so KENYAN...a luo from kisumu(nyakach nyando)
 
Wakenya wengi wana jisikia aibu kuongea kiswahili kwa kuwa wanaisi mapungufu katika lugha wanayo izungumza...

Wana wasifia wamombasa kuwa wana ongea kiswahili kizuri kuliko wakenya wengi...

Hata umkute na digrii au masters kichwani lakini kiswahili kina wapiga chenga... Mfano ni humu wana jisifia kiswahili lakini lugha wanayo itumia muda mwingi ni kizungu kwa kuwa kiswahili wana mapungufu nacho na kiswahili chao ni cha kujifunza darasani tofauti na watanzania walio wengi huku tukitofautiana lafudhi kutokana na makabila tuliyo NAYO...
Hawa manyang'au hata hicho "kizungu" pia hawakijui. Wanapuyanga vibaya sana.

Wanakibabaikia kizungu kama misukule ya malkia Elizabeth!

Yule muzungu juzi kawaita nyani wakachachawa!
 
wallah bin wallah is so KENYAN...a luo from kisumu(nyakach nyando)
Wallah, or Mwalimu, as many now call him, was born in Lamadi Village, Mwanza, Tanzania, in 1956, and spent his early childhood in Lukungu Village, also in Mwanza. From a seminary in Nyegezi to diploma in education from Morogoro teachers college and to a degree from Zanzibar campus of UDSM.

 
Acha ujinga wewe mgikuyu!

Kiswahili hakikuwahi kuwa na chimbuko toka Kenya!

Kilicholetwa ni muunganiko wa lugha fulani za kibantu zilizopita Congo zikakatiza pwani ya Kenya kisha zikatua Tanganyika ya kipindi hicho!

Lugha hizo za kibantu zilipofika Tanganyika zikachanganyika na msamiati kiduchu wa Kiarabu ndipo kikazaliwa kitu kinaitwa "Kiswahili" [swahil`].

Miaka yote hiyo Kiswahili kikazidi kukua na kustawi kikiwa hapa hapa Tanzania. Kikakua na kuboreshwa kwa kasi kubwa!

Ndio maana huko kwenu Kenya mmebaki na makapi ya lugha za kibantu yaliyotoka Congo ambayo eti mnayaita 'Kiswahili'.

Kiswahili kimezaliwa na kukua Tanzania!
Wanafunzi wenzangu walikuwa haweshi kunionea gere. Waliposikia kwamba nilikuwa kikojozi, nalowesha matandiko usiku na kukijaza chumba harufu mbaya, (na nafikiri Malkia Maube ndiye aliyewatobolea siri) wakaniimbia, “Kindumbwendumbwe charia, Kikojozi kakojoa, na nguo kazitia moto!”

Mabezo yao yasiyoisha na hisia zangu za kujihisi dhalili vilinipandisha Ibilisi wangu hasira aliyekuwa kanionya mama kumhusu....................
 
Wanafunzi wenzangu walikuwa haweshi kunionea gere. Waliposikia kwamba nilikuwa kikojozi, nalowesha matandiko usiku na kukijaza chumba harufu mbaya, (na nafikiri Malkia Maube ndiye aliyewatobolea siri) wakaniimbia, “Kindumbwendumbwe charia, Kikojozi kakojoa, na nguo kazitia moto!”

Mabezo yao yasiyoisha na hisia zangu za kujihisi dhalili vilinipandisha Ibilisi wangu hasira aliyekuwa kanionya mama kumhusu....................
Mmh hapana asee wewe Jane umekulia Tz kabisaaa tena nahisi mzazi wako mmoja ni Mtz kabisaaa. Haiwezekani hadi "kindumbwendumbwe" wakijua. Wakenya nawafahamu na Kiswahili chao cha "kukula chakula" lakini wewe huna tofauti na mdada wa Kinyamwezi Tabora Itetemya.
Tena Kiswahili chako umemzidi kidogo Mk254 yeye ana Kiswahili flani hakija lainika/hakina vilainishi kama chako. Nahisi wewe ni chotara Mtz/Mkenya.
 
Wanafunzi wenzangu walikuwa haweshi kunionea gere. Waliposikia kwamba nilikuwa kikojozi, nalowesha matandiko usiku na kukijaza chumba harufu mbaya, (na nafikiri Malkia Maube ndiye aliyewatobolea siri) wakaniimbia, “Kindumbwendumbwe charia, Kikojozi kakojoa, na nguo kazitia moto!”

Mabezo yao yasiyoisha na hisia zangu za kujihisi dhalili vilinipandisha Ibilisi wangu hasira aliyekuwa kanionya mama kumhusu....................
Wacha weeehh!
 
Back
Top Bottom