Likija kwenye suala la miundo mbinu, University of Ghana imeshinda university yoyote ya Kenya au Tanzania

Likija kwenye suala la miundo mbinu, University of Ghana imeshinda university yoyote ya Kenya au Tanzania

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
University of Nairobi imeishinda university of Ghana kimasomo, (tukizingatia ranking) lakini university of Ghana ina miundo mbinu (infrastructure) ya ajabu. Imejengwa ikajengeka. Ina majengo mengi na yenye hadhi ya juu. Hakuna university hapa A.M imeikaribia kwa majengo.

 
Unazungukia mbali sana hujawah kuona chuo chochote kizuri ukanda huu?
 
K.U is better
Though iyo ya Ghana imepangwa ikapangika vizuri.
 
Kenyatta university kuna prof anaitwa David Minja. Huwa namshangaa sana huyo minja yaan mmarangu kqlowea kenya au sijui baba yake ni mTz
 
what infrastructure? I see old buildings nothing special!
Wewe una wivu hadi na Ghana? Sio Kenya pekee unayoichukia. Lakini mtazidi kusoma namba. Ghana linchi lenye watu millioni 29 ina GDP kubwa kuwashinda Walazy ilhali nyie mna watu milioni 58 milion. Walazy wacheni uzembe
 
Wewe una wivu hadi na Ghana? Sio Kenya pekee unayoichukia. Lakini mtazidi kusoma namba. Ghana linchi lenye watu millioni 29 ina Gdp kubwa kuwashinda Walazy ilhali nyie mna watu milioni 58 milion. Walazy wacheni uzembe
Hebu dadavua kulingana na definition hii:

Screenshot_20200811-094401.png
 
Napata wasiwasi huenda wakenya hawajui infrastructure ni kitu gani😂
 
Back
Top Bottom