Likizo bila malipo ipoje hii? Ufafanuzi please

Likizo bila malipo ipoje hii? Ufafanuzi please

Auntkuku

New Member
Joined
Jan 2, 2021
Posts
1
Reaction score
1
Habari zenu wakuu,

Naomba msaada kwa ambao walikuwa ndani ya utumishi wakaomba likizo bila malipo utaratibu wake upoje. Kwa maana kwamba naanzia wapi ili nipate na huwa wanatoaga muda gani? (miaka)
 
Back
Top Bottom