Likizo Geresha ya Pasaka

Likizo Geresha ya Pasaka

Hebu tulia kwanza!. Af tuambie unacholalamika ni likizo, Pasaka au Watoto kusoma?
Sidhani kama mtoa mada ana mwanafunzi. Angekuwa naye asingeweza kutoa kauli kama hizo. Masomo ya ziada wazazi ambao tupo serious tunayataka. Halafu watoto kuzurura mitaani kuna athari mbaya kimasomo na kimaadili.

Bora wawe busy shuleni. kumbukeni ile lock down ya mwaka jana kwa sababu ya COVID 19 jinsi wazazi walivyokuwa wanatamani shule zifunguliwe haraka iwezekanavyo. Watoto wengine waliharibika hata shule zilipofunguliwa hawakurudi shuleni. Mimba, kuolewa, kukataa shule, bangi, ni baadhi ya sababu za kutorudi shule.
 
Mzaz
Wazazi wengi nao ni wale wale mkuu, wazazi wengi haya hawayajui kabisa ni fullu Vihiyo, ndo hawa watoto wao wa Chekechea eti wakifunga wanaenda tuition, au watoto usiku hawalali wanafanya Homework maswali 60, na mazazi anajisifu kumbe ujinga.

Wazazi ndo wa kulamumu na sio walimu
Mzazi SI mtaalamu wa saikolojia ya mtoto Wala SI mtaalamu wa elimu wakulaumiwa walimu
 
mwache mtoto asome, akihitimu masomo yake utakaa naye hapo nyumbani hadi umchoke maana hakuna ajira labda ajiajiri kufuga panzi.
 
Kuna shule watoto wamefunga wikendi tu, yaani Ijumaa tarehe 26 kisha 29 wamefungua.
 
Kuna shule nilisomaga sasa mkuu wa shule alisoma Urusi, aiseee yaani Siku ya kufungwa shule alikuwa anatutangazia kabisa nendeni mkapumzike,

Alituambia wazi, likizo ni swala la kisayansi, kupumzisha ubongo, alikuwa hata hata tukasome Tuition alitaka tupumzike kama ni kutembelea ndugu tukatembelee,

Hakukuwaga na sijui kidsto cha nne au cha sita wabaki wakati wa likizo hio biashara alikuwa hataki kabisa
Elimu ya Urusi unataka kuifananisha na Elimu ya Tanzania?Huyo mwalimu alikuwa sahihi kwa muktadha wa alikosomea.
Unafahamu kuna vipindi vingapi wanafunzi walipoteza robo muhula uliopita?
Unajua mipango ya walimu kufidia upotevu huo?
Unajua hata waalimu wanahitaji kupumzika?
Hata hivyo hukuna ulazima kama unaona huhitaji mtoto wako kubaki shuleni wakati wa likizo,watoto hawafanani
 
Nenda shule kaulizie upate ufafanuzi, ni kweli watoto wanahitaji kupumzika.
Huenda Kuna kitu Cha kufidia pia elezea Kama Kuna gharama unatozwa.naomba majibu
 
Elimu ya Urusi unataka kuifananisha na Elimu ya Tanzania?Huyo mwalimu alikuwa sahihi kwa muktadha wa alikosomea.
Unafahamu kuna vipindi vingapi wanafunzi walipoteza robo muhula uliopita?
Unajua mipango ya walimu kufidia upotevu huo?
Unajua hata waalimu wanahitaji kupumzika?
Hata hivyo hukuna ulazima kama unaona huhitaji mtoto wako kubaki shuleni wakati wa likizo,watoto hawafanani
Wabaki kwa gharama za nchi, na sio kwa mia mbili, tatu tano au elfu ya mzazi!!
 
Wewe
Faida gani? Ndo mnavyo danganywa kwamba January hadi December mtoto anatakiwa kusoma tu?

Mtoto kama hana akili hana, na likizo ni ishu ya kisayansi ndo maana zikawepo likizo, ndo maana makazini pia kuna likizo,
Ninahisi unademu mwanafunzi!
 
Kuna shule nilisomaga sasa mkuu wa shule alisoma Urusi, aiseee yaani Siku ya kufungwa shule alikuwa anatutangazia kabisa nendeni mkapumzike,

Alituambia wazi, likizo ni swala la kisayansi, kupumzisha ubongo, alikuwa hata hata tukasome Tuition alitaka tupumzike kama ni kutembelea ndugu tukatembelee,

Hakukuwaga na sijui kidsto cha nne au cha sita wabaki wakati wa likizo hio biashara alikuwa hataki kabisa
Ufaulu ulikuwa aje?
 
Back
Top Bottom