Likizo na Pasi Zasitishwa JWTZ. Waliokuwa likizo waitwa warudi kambini

Status
Not open for further replies.
kuna wanausalama kadhaa wamepelekwa Congo hii ni kwa mujibu wa baadhi ya wanausalama ambao majina yao hayakuwepo kwenye mpango huo.
 

Acha kutafuta habari na umaarufu haukusaidi jeshi ni taasisi iliyokamilika inataratibu zake. Naona wewe umekuwa msemaji wa jeshi. Ukiona vp omba nafasi ili upate urahisi wa kuandika correct info.
 

Huyo kamanda hana siri yoyote ya maana coz huyo mwanajeshi alikuwa mkufunzi katika kitengo cha it,kakimbia na mitihani na waliyokuwa na course work ndogo wamefudahi paper itarudiwa.
 
Bandugu Kamanda wa Green Guard na vikosi vyake vya tindikali nao wameitwa?

ni kweli brigedi za Magharibi zimebadilisha alama toka 25% na kwenda 50% kwa utayari wa operation za kijeshi.Namkumbuke huko ndio vipi vikosi imara vya miguu na silaha nzito za kudefence na kuattack

ccm wataitumia hii fursa ipasavyo,vita tena hapana!!!
 
Mwanajeshi gani kavujisha siri kamwambia Mwanakijiji mipango ya Jeshi letu.Wanajeshi wanamna hii ni hatari kwa kutoa siri wanaweza hata kusaidiana na maadui zetu kutuhujumu.Mkuu wa majeshi kuwa makini na vijana wako.
Hata mimi taarifa hii imenishangaza sana, sina shaka mwenzetu walao aliwahi kupitia JKT na anajua miiko ya Kijeshi inapokuja kwenye masuala ya usalama. Jeshi letu liwe makini na viwanja vyetu vya ndege vilivyopo mikoa ya mipakani na kati, vile vile barabara za lami zenye stretch zaidi ya mita 1800 bila kona nazo zinapashwa kuwekewa ulizi, jamaa hawa wana ujuzi wa kutumia transport planes kubeba vikosi vyao malaamu muwe makini SANA.
 
Kama kuna nafasi ya kujitolea naomba niwe miongoni mwa watakaojitolea. Natamani sana nikapiganie nchi kagame ndo mdudu gani? NATAMANI SANA JAMANI. Msamalia yeyote ani-pm ili nirudishe chumba nilichopanga mapema.
 
Kama kuna nafasi ya kujitolea naomba niwe miongoni mwa watakaojitolea. Natamani sana nikapiganie nchi kagame ndo mdudu gani? NATAMANI SANA JAMANI. Msamalia yeyote ani-pm ili nirudishe chumba nilichopanga mapema.
 
Mwanajeshi gani kavujisha siri kamwambia Mwanakijiji mipango ya Jeshi letu.Wanajeshi wanamna hii ni hatari kwa kutoa siri wanaweza hata kusaidiana na maadui zetu kutuhujumu.Mkuu wa majeshi kuwa makini na vijana wako.
Hata mimi taarifa hii imenishangaza sana, sina shaka mwenzetu walao aliwahi kupitia JKT na anajua miiko ya Kijeshi inapokuja kwenye masuala ya usalama, tusieleze kila kitu. Kitu kingine, Jeshi letu liwe makini na viwanja vyetu vya ndege vilivyopo mikoa ya mipakani na kati, vile vile barabara za lami zenye stretch zaidi ya mita 1800 bila kona zinaweza kutumika kirahisi kutua na kupaa fasta kwa ndege hivyo itatubidi kuwekewa ulizi, jamaa hawa wana ujuzi wa kutumia military transport planes kubeba vikosi vyao malaamu vikiwa na zana zote!! Tuwe makini SANA.
 
kwa mchezo waliokuwa wanaufanya kule mtwara usikute wanatamani kwenda kubaka vimwana wa kwa KAGAME..
ufahamu wako ni wa kiwango cha chini kabisa kuliko mtu yoyote hapa JF
 
tujiandae kuchukua koroni letu sasa tumechoka na matusi ya kagame
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…