Likizo na Pasi Zasitishwa JWTZ. Waliokuwa likizo waitwa warudi kambini

Likizo na Pasi Zasitishwa JWTZ. Waliokuwa likizo waitwa warudi kambini

Status
Not open for further replies.
nami nimeanza mazoezi makali asubuhi na jioni maana nimo kwenye hao reserves na hakika hii vita inaweza kusambaa kuelekea Kigali kama Kagame hataacha upuuzi wa kusogeza majeshi yake mpakani mwa CONGO !
 
Aliyosema Mwanakijiji sio siri......viko kwenye public domain.....!

Pamoja na hayo wale makamanda wa RPA waliotekwa pamoja na vijana wao wa M23 bado wananyweshwa supu...!


Source:
Jeshi la Wananchi Tz ‏@JW_TZ 6h Vita imefika Def Con 003, ni ushindi wa 96%, Hii inatokana na kufanikiwa kukamata mateka 2602 ikiwemo maafisa wa juu wa 4 wa Jeshi la Rwanda

Nashangaa!! mkwara unapigwa huku JF alafu wenyewe wanabandika exactly the same message!!!
 
Nashauri kwa upendo kabisa na uzalendo wa hali ya juu kwamba kuna baadhi ya habari si za kuanika humu, maana hujui adui zako nao wakizisoma watafanya nini, suala la vita ni nyeti sana na hivyo tuwe makini na tunayoweka humu.
Kitengo cha habari cha JWTZ kinaona ni vema na haki kwa wananchi kuwa na taarifa, halafu wananchi wenyewe wanataka iwe siri! Ajabu kabisa!
1170779_10151823911248069_1228467406_n.jpg
 
Mkuu Crashwise naona unataka kuwaponza, kule hakuna "nchale" ni makombora na kichapo kwa kwenda mbele.

Nawaonea huruma rafiki zangu walioamua kuwa wafunga buti.

Akili yako ndog sana na unastahili kunyongwa...
 
Last edited by a moderator:
Haki ya nani hawa jwtz wanavyotamani kumpiga mtu;
patakuwa hapatoshi, Mungu apitishe tu mbali.

@mzee mwanakijiji,
salimia wote wabeba mabox wenzio huko;
mkiweza rudini tujenge nchi yetu; copy: chama
Tukajiandikishe mimi na wewe as volunteer Mamndenyi:tongue:
 
Last edited by a moderator:
ni muhimu sana kwa jeshi letu kuwa tayari muda wowote kwa batalian za Tabora, kigoma, bukoba etc, ili rwanda wakianza kuchakazwa upande wa drc na makomandoo wa tz, makomandoo wengine wa tz waanze kuwaingilia kinyume upande huu wa bukoba kigoma tuwaminye katikati ya kigali. sijui kagame atakimbilia wapi, idi amini alikimbilia libya, jwtz walikuta ikulu iko empty, kagame kila mtu anamchukia sijui atakimbilia wapi. na kule drc nina uhakika fdlr wataunga mkono jeshi linalopiga kutokea kule. kama kweli tutaamua kumchapa, tunatakiwa kuchapa hadi ikulu, hata akisema haya basi nanyoosha mikono kuwe na cease fire, sisi tuendelee kupiga hakuna cha msamaha hadi arudi msituni.
Endelea kuota tuu..kwa taarifa yako kagame ana support ya jeshi la kenya na uganda plus jeshi lake la rwanda..sasa jwtz watawezaje kupambana na majeshi yote hayo? Acheni ushabiki na siasa kwa vitu kama hivi.
 
Hamna vita wala nini. Umbea tu umewajaa wanaume kama mabinti.

Radhia mke wangu, acha kujitukana mwenyewe pamoha na mama zetu na dada zetu.mke wangu radhia nakupenda sana mwaaaahhh :A S kiss:
 
huyo kagame akifa mimi siwezi kulia nitamtupa rusumo awe chakula cha mamba...hakika ni kichapo tu
 
huyo kagame akifa mimi siwezi kulia nitamtupa rusumo awe chakula cha mamba...hakika ni kichapo tu

Nyie jidanganyeni tuu..mpaka sasa hivi Tanzania imeshatengwa na east Africa community. Haipo tena...kenya, uganda na rwanda wameungana...sasa endeleeni kuleta umagamba weni wakati uchumi wa nchi unazidi kuenda cjini..kikwete katufikisha hapa tulipo kutokana na upuuzi wake.endeleeni kuleta u shabiki na siasa.
 
Hivi kuna faida gani mpaka sasa kuwa na linchi likubwa km tz? Nadhani tungejipunguzia mzigo kwa nchi tangu kipindi cha iddi amini dada iwapo tungemwachia kagera.... na sasa nashauri tupige kura km kagame anataka kagera au tabora tumpe hata kwa mkataba wao miaka 50.
 
huko siyo mtwara au comoro..wabakaji nyie..

mbakaji ni baba yako aliyembaka mama yako ndio maana umezaliwa haramu. Unamawazo ya kubakwabakwa tu. ---- u! Nakutaman sana malaya ww
 
Sitashangaa kuona serikali ya Kikwete wakifanya hivyo!
Kama waliweza kuwazuia wanajeshi wasiende likizo kwa ajili ya kwenda visiwa vya Comoro kumpiga kiongozi wa wanamgambo kanali Mohamed Bakari asiye hata na Upinde wala Manati, sembuse Meja Kagame mwenye vifaru na silaha za hatari...

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom