Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,108
Sipendi vita: Ila linapokuja suala la Rais wa nchi yangu kukashifiwa na nchi jirani hujiona nimedharauliwa sana!! J.K nchi yote tuko nyuma yako: Ikiwezekana apigwe huyu "nduli" mtoto. Nafikiri ilikuwa ni makosa sana kuruhusu ajiunge na E.A.C!!
chanzo cha vita ni nini?