Likizo na Pasi Zasitishwa JWTZ. Waliokuwa likizo waitwa warudi kambini

Likizo na Pasi Zasitishwa JWTZ. Waliokuwa likizo waitwa warudi kambini

Status
Not open for further replies.
Hivi mnapenda sana mkiona tunadhalilishwa eti eeeh;
looh, shauri zenu watawarudia hata wake zenu, watoto wenu na mama zetu;mie sipo.


Naomba wakaanze na mke wa kagame itakuwa ni sehemu ya malipo yao acha wajilipe tu.[/QUOTE]
 
Hawa Green Guard, Red Brigade na Blue Guard wenyewe hawajaitwa?
 
Unagongwa we mrwanda.

haya ndiyo matusi ya wabakaji wanaojifua kwenda vitani mbaya zaidi unaonekana umjamzito sasa sijui kazi ya mnyarwanda utaiweza na hiyo mimba changa yako, ushauri wangu anzeni kuzuia twigaa kusafirishwa kwenda dubai ndiyo mlete huu upumbavu wenu eti tushikamane..
 
Vitani mtaenda wenyewe watanganyika mufe zanzibr haituhusu hiyo vita.
 
Ngoja mishahara ianze kuchelewa na miradi yote ya maendeleo kama roads,umeme,elimu etc isimame labda ndio tutajua vita ni upuuzi tuu especially vita ya kujitakia kama hii inayoongelewa hapa JF.
 
Sidhani kama Tanzania inajiandaa kuivamia nchi yoyote ile bali inajiandaa dhidi ya uvamizi wowote ule toka kwa yoyote yule
 
Tukiingia vitani nitavaa kombati na kwenda mstari wa mbele, sio kwasababu napenda vita la hasha, sio kwasababu ninamuunga mkono Mr dhaifu hata kidogo, sio kwasababu ninawachukia wanyaranda hapana ila kwasababu naipenda Tanzania.

Moja Tayari tutakuwa na vita ngumu sana kwani Kagame amesha-mpbilize Kenya na Rwanda sijui Burundi wako upande gani, na ukweli tatizo sio kauli ya Jk kuhusu waasi, utakuwa ni mpango wa Muda mrefu wa maadui zetu.

Kwa sasa naomba kila Mtanzania tuwe wamoja, acheni siasa na acheni mzaha, vita inahusu nchi na haihusu mtu, wakiweza kutuchapa atakayeathirka ni sisi. Usalama wa Taifa jamii uanze mara moja, kila mgeni ambaye hujui katokea wapi mripoti mara moja kitua cha polisi, bila kujali ni Mkenya, Mganda, Mnyarwanda au Mrundi. Kagame atawaingiza kwa kutumia njia mbali mbali. Kipindi cha kupima uzalendo na uzawa ni wakati wa vita.

Wamesema mengi na wanafanya mengi. I hate this. Walituchezea mchanga 1977 tukaachwa mbaya, na sasa wanataka tena kutuchezea cheusi chekundu.

Mwisho busara na uwezo wote utumike kuepusha vita , iwe ni suluhisho la mwisho, ila tusisubiri kutiwa vidole vya macho. Tayari nimeanza kufua kombati zangu na buti. Haya kama inabidi tuanze mapema kuchangia chakula na maji ya wanajeshi wetu tuambiwe mapema, tujiandae vizuri. Hatuji aadui ni wangapi ila tunao wengi, hasa mabebru wanaotaka gesi na madini.
 
Niko tayari kufa kwa ajili ya Nchi yangu
Rwanda hawawezi kutunyima Usingizi
 
Kainzi kanasema pia uwanja wa ndege wa Tabora kwa sasa huko manned na wanajeshi ingawa wanavaa kiraia wakiwa hapo kiwanjani.

Hako kainzi kenu kakikamatwa kataminywa korodani hadi kakome!
 
Lakini twende mbele na kurudi nyuma.

Inflation rate sasa hivi sijui 15% tukienda vitani si itafika 30%

La muhimu hapa kuweka mipango ya muda mrefu ili tuweke rais wetu hapo Rwanda kama vile tulivyofanya Burundi na Condo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom