Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 412
Maandalizi ya safari ya kwenda kunywa chai Kigali....! Kagame na kagenge chake cha wahuni wajiandae kukwapuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wiki iliyopita hapa Arusha wamepita kwenye mashule kutoa tahadhali kuwa watoto wakiona kitu cha mviringo wasikiokote au wakipewa na kupewa maelekezo ya kukirusha kwa wenzao wasikubali..
hii inaonyesha kumesha pambazuka
Ni wakati wa taifa letu kuendeleza mshikamano wengu katika hali yoyote itakayojili kuilenga tanzania,
hatuna nchi nyingine ni hii hii lazima tuitetee kwa nguvu zote.
Unagongwa we mrwanda.Mbona walipikuwa wanabaka watanzania kule mtwara, hukutwambia tushikamane..
[/QUOTE]mmmmh
hayo ni majanga tena.[
QUOTE=Crashwise;7236185]kwa mchezo waliokuwa wanaufanya kule mtwara usikute wanatamani kwenda kubaka vimwana wa kwa KAGAME..
Mwanajeshi gani kavujisha siri kamwambia Mwanakijiji mipango ya Jeshi letu.
Wanajeshi wanamna hii ni hatari kwa kutoa siri wanaweza hata kusaidiana na maadui zetu kutuhujumu.
Mkuu wa majeshi kuwa makini na vijana wako.
Uko sahihi kabisa damu yangu inasisimka kila napo isikia vita. Naitaman sana Rwanda tuwashkishe adabu. Naamin siwez kustaaf bila kumwaga damu. Sheeeet!