Likizo na Pasi Zasitishwa JWTZ. Waliokuwa likizo waitwa warudi kambini

Likizo na Pasi Zasitishwa JWTZ. Waliokuwa likizo waitwa warudi kambini

Status
Not open for further replies.
Maandalizi ya safari ya kwenda kunywa chai Kigali....! Kagame na kagenge chake cha wahuni wajiandae kukwapuliwa
 
Ni wakati wa taifa letu kuendeleza mshikamano wengu katika hali yoyote itakayojili kuilenga tanzania,
hatuna nchi nyingine ni hii hii lazima tuitetee kwa nguvu zote.
 
Uko sahihi kabisa damu yangu inasisimka kila napo isikia vita. Naitaman sana Rwanda tuwashkishe adabu. Naamin siwez kustaaf bila kumwaga damu. Sheeeet!
 
  • Thanks
Reactions: R.B
mmmmh
hayo ni majanga tena.[

QUOTE=Crashwise;7236185]kwa mchezo waliokuwa wanaufanya kule mtwara usikute wanatamani kwenda kubaka vimwana wa kwa KAGAME..[/QUOTE]
 
wiki iliyopita hapa Arusha wamepita kwenye mashule kutoa tahadhali kuwa watoto wakiona kitu cha mviringo wasikiokote au wakipewa na kupewa maelekezo ya kukirusha kwa wenzao wasikubali..
hii inaonyesha kumesha pambazuka

Hii ni hatari, inabidi watoto wa shule za awali (chekechea) warudishwe nyumbani manake hawa wanaweza kuwa victims namba moja. Si rahisi kuwaelekeza kuwa ukiona kitu cha mviringo mtaani wasikiokote!
 
Kwa hilo sina uchama...tz ktk jesh halikurupuki, intelijensia yetu iko gado.watuite tu hata sisi manesi na walimu
 
Mwanajeshi gani kavujisha siri kamwambia Mwanakijiji mipango ya Jeshi letu.

Wanajeshi wanamna hii ni hatari kwa kutoa siri wanaweza hata kusaidiana na maadui zetu kutuhujumu.

Mkuu wa majeshi kuwa makini na vijana wako.
 
Mwanakijiji kwanini umevujisha taarifa na mipango ya ndani ya jeshi letu ingali mapema? Is this not alerting our enemy? Hii post sijaifurahia ingawa ni nzuri.
 
Siungi mkono vita. Ila kunaweza kuwa na exception iwapo nchi itashambuliwa na nchi jirani. Ni sawa kabisa Jeshi kujiweka kwenye kali ya utayari wa kivita ila si vyema likaanzisha vita bila kuchokozwa. Mpaka sasa huu unaoitwa mgogoro wa Rwanda na Tanzania ni masuala binafsi ya wakuu wa nchi ambayo yalianza kwa mazungumzo - kwa ushauri wa JK kuwa PK aongee na wapinzania wake - na yanaweza kumalizika kwa mazungumzo kati ya hawa wakuu wawili.
 
Ni wakati wa taifa letu kuendeleza mshikamano wengu katika hali yoyote itakayojili kuilenga tanzania,
hatuna nchi nyingine ni hii hii lazima tuitetee kwa nguvu zote.

Mbona walipikuwa wanabaka watanzania kule mtwara, hukutwambia tushikamane..
 
Yes,combati zetu mpya zinaelekea kutumika zile za kuvaa halafu unafunga majani mwili mzima mbona itakuwa tamu hii sipati picha itakavyokuwa,

Mungu lazima asimame kwetu kwa vile walituanza lazima tuwapeleke puta tu.
 
mmmmh
hayo ni majanga tena.[

QUOTE=Crashwise;7236185]kwa mchezo waliokuwa wanaufanya kule mtwara usikute wanatamani kwenda kubaka vimwana wa kwa KAGAME..
[/QUOTE]
Naomba wakaanze na mke wa kagame itakuwa ni sehemu ya malipo yao acha wajilipe tu.
 
Mwanajeshi gani kavujisha siri kamwambia Mwanakijiji mipango ya Jeshi letu.

Wanajeshi wanamna hii ni hatari kwa kutoa siri wanaweza hata kusaidiana na maadui zetu kutuhujumu.

Mkuu wa majeshi kuwa makini na vijana wako.

ni hatari kuliko polisi wauza bangi na wanaovamia benki...hawa ni wanakaji wanaojiandaa kwenda vitani..
 
Kainzi kanasema pia uwanja wa ndege wa Tabora kwa sasa huko manned na wanajeshi ingawa wanavaa kiraia wakiwa hapo kiwanjani.
 
Uko sahihi kabisa damu yangu inasisimka kila napo isikia vita. Naitaman sana Rwanda tuwashkishe adabu. Naamin siwez kustaaf bila kumwaga damu. Sheeeet!

huko siyo mtwara au comoro..wabakaji nyie..
 
...... Hakyanani ... nimesoma tu sijaongeza neno lolote......
 
Tuepushe vita. Sidhani washirika wa Rwanda will stand by and watch brave Rwanda ikiadhibiwa na UN, South Afrika ,Tanzania. New EA realignment will suck Uganda, Kenya into the Congo conflict.
 
...Ni swali tu... hivi ukubwa wa nchi ya Burundi unaweza kulinganishwa na mkoa gani Tanzania... na Rwanda je?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom