mwisho2016
JF-Expert Member
- Jun 27, 2016
- 724
- 625
Habari Wana JF
Kwa wale wapenda soka, na wafuatiliaji timu yangu siku mbili tatu hizi imeamsha Jambo, si jipya lakini, nauona Kama mtihani mkubwa, kwa kocha na mechi muhimu kwa wakal wa soka Barca.
Haiwezekani Pogba atakiwe, De Gea kukaku, yaaani Ile cream yetu kutajwa kuondoka..naelewa hizi zinaitwa football conspiracy lkn zinaletwa wakati mbaya Sana.
Barca haijawahi kushinda old Trafford. Mechi ya majuzi psycholojikali Wachezaji waliihamishia siku ya Barca. Ikiwa Kuna kupoteza akili zao kwa namna ya siasa siasa imenisononesha Sana.
Kwa wale wapenda soka, na wafuatiliaji timu yangu siku mbili tatu hizi imeamsha Jambo, si jipya lakini, nauona Kama mtihani mkubwa, kwa kocha na mechi muhimu kwa wakal wa soka Barca.
Haiwezekani Pogba atakiwe, De Gea kukaku, yaaani Ile cream yetu kutajwa kuondoka..naelewa hizi zinaitwa football conspiracy lkn zinaletwa wakati mbaya Sana.
Barca haijawahi kushinda old Trafford. Mechi ya majuzi psycholojikali Wachezaji waliihamishia siku ya Barca. Ikiwa Kuna kupoteza akili zao kwa namna ya siasa siasa imenisononesha Sana.