Lil Kim na Juma Nature Palikuwa Hapatoshi

Lil Kim na Juma Nature Palikuwa Hapatoshi

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752

16gevra.jpg


2cr7v38.jpg

attachment.php
attachment.php
attachment.php




 

Attachments

  • DSC_0372.jpg
    DSC_0372.jpg
    62.8 KB · Views: 1,045
  • DSC_0416.jpg
    DSC_0416.jpg
    52.1 KB · Views: 984
  • DSC_0369.jpg
    DSC_0369.jpg
    70.6 KB · Views: 1,067
Mfunykuzi nilikuwa nakusubiria uturushie za Fiesta mkuu.......lazima ni-acknowledge ufanisi wako katika suala la mapicha
Cheers and thanks
 
Mfunykuzi nilikuwa nakusubiria uturushie za Fiesta mkuu.......lazima ni-acknowledge ufanisi wako katika suala la mapicha
Cheers and thanks
You are welcome japo umenitosa kiaina ulikuwa na nani Fiesta?
 
J. Nature kamuita mtoto mzuri...lili Kiiim!!
Lili Kim kajibu, yees babe.....
Nature kamwambia.....leeeta!!! leta hiyo makitu!
 
Achachachachaaaa, huyu Lil Kim si mchezo, mbona kitumbua kakinadi nje nje? Wakora ilikuaje siku hio? Mfunyu hebu tupe picha za Simba Day bana.Thanx.
 
vipi picha za alhaji..... hakuperform?
 
kweli nimeamini ngombe hazeeki maini...duuh kumbe kim na ubi-kidude wake mash-allaaaah bado ma-utamu yamo...anyway..NATURE jipange unaweza kuongeza record ya kubandua kicheche cha broklyn....TATIZO...lugha sasa jumaaaa weeee.
 
kweli nimeamini ngombe hazeeki maini...duuh kumbe kim na ubi-kidude wake mash-allaaaah bado ma-utamu yamo...anyway..NATURE jipange unaweza kuongeza record ya kubandua kicheche cha broklyn....TATIZO...lugha sasa jumaaaa weeee.[/QUOTE]

ndude hazijali lugha... huwa zinaelewana
 
kweli nimeamini ngombe hazeeki maini...duuh kumbe kim na ubi-kidude wake mash-allaaaah bado ma-utamu yamo...anyway..NATURE jipange unaweza kuongeza record ya kubandua kicheche cha broklyn....TATIZO...lugha sasa jumaaaa weeee.[/QUOTE]

ndude hazijali lugha... huwa zinaelewana

ohhh...kweli banaaa...si unajuwa yale mambo yetu yanahitaji CHEMISTRY tu...kila kitu inakuwa finito...sema sasa juma na mibangi yake mpaka apate contacts za lil...anyway mayb kulikuwa nna ki-afterparty flan hivi mswazinaa mjukuu wa mze kiroboto akasett mingo za kula tunda la dadake obama...ahahaha..NATURE ...jipanguseeeeee...RHAAAAAAHAAAAA..BRAAAHHHAAAAAAAAAA
 
Kama nature sio kula ugoro angekuwa mbali sana. Halafu siku hizi vijana wengi wanakula ugoro mimi kule kijijini nilizoea kuona wa bibi wanakula ugoro sasa siku hizi ni opp. kabisa. Mchizi ni mkali na anapendwa ile mbaya hata aimbe utumbo angetumia hio karesma na akafika mbali kimataifa na sio kuwa star wa temeke pekee.

Nakumbuka aliitwaga na mnet ku perform kwenye BB africa kwenye eviction show akapiga mchupa akasinzia ndege ikamwacha. Akakosa show kubwa kama ile sasa anakipga fiesta tu.
 
Back
Top Bottom