Ni nane mpka kumi na mojaMtangazaji aliekuwa times fm lil OMMY leo ametambulishwa RASMI ndani ya wasafi fm .
Lil OMMY leo anazindua RASMI kipindi Cha THE SWITCH ndani ya wasafi fm.kipindi kitakachokuwa kinaruka kuanzia saa 8 mchana hadi 10 kamili jtatu Hadi ijumaa
Embu kuwa na adabu na heshima ww Steve Jobs usifananishe na watu waovyo Alaa [emoji51]Mondi sio mtu mzuri kabisa, Mondi ana ubongo wa Steve Jobs,Elon Musk, Mandela , MLK na Jayz ukiwajumlisha.
Uzi kamili unakuja
Hoja nzuri Sana hiiWawe makini sana content yao isifanane na Block 89. Maana kama watachokifanya sasa kitafanana na block 89 basi hakutakua na haja ya kusikiliza Block 89 tena maana wasanii wote wa kizazi kipya wanahojiwa The switch sasa block 89 iko kwa ajili ya nani.
Naona ataifanya kuwa kubwa Sana Wasafi mediaMondi sio mtu mzuri kabisa, Mondi ana ubongo wa Steve Jobs,Elon Musk, Mandela , MLK na Jayz ukiwajumlisha.
Uzi kamili unakuja
Ile block 89 kiukweli huwa siielewiWawe makini sana content yao isifanane na Block 89. Maana kama watachokifanya sasa kitafanana na block 89 basi hakutakua na haja ya kusikiliza Block 89 tena maana wasanii wote wa kizazi kipya wanahojiwa The switch sasa block 89 iko kwa ajili ya nani.
Wewe ndo una maajabu basi nenda kasajiliweMtangazaji wa kawaida hana Maajabu Yoyote.
nami nimemshangaaEmbu kuwa na adabu na heshima ww Steve Jobs usifananishe na watu waovyo Alaa [emoji51]
Jamaa kwel ana kipaj ila kwa hapa alpofikia nkajua ameaxhana na Times kapata ata deal la radio kubwa za nje coz ya influence ata ya zile tuzo angeenda kama trace,,soundcity au ata majerlazer radio kumbe ni utumbo wa ulimbuken kafany kuamia ile media ya kupelekwa pelekwa na Anayejiita Chibu wakat Chibu asil is alive......Hatimaye yaliyosemwa kuhusu wapi anaelekea mtangazaji wa Times fm yametimia. Muda huu Lil Ommy ametambulishwa ktk redio changa Wasafi Fm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kwel ana kipaj ila kwa hapa alpofikia nkajua ameaxhana na Times kapata ata deal la radio kubwa za nje coz ya influence ata ya zile tuzo angeenda kama trace,,soundcity au ata majerlazer radio kumbe ni utumbo wa ulimbuken kafany kuamia ile media ya kupelekwa pelekwa na Anayejiita Chibu wakat Chibu asil is alive......Hatimaye yaliyosemwa kuhusu wapi anaelekea mtangazaji wa Times fm yametimia. Muda huu Lil Ommy ametambulishwa ktk redio changa Wasafi Fm.
Sent using Jamii Forums mobile app
apo umenena na nlijua icho ndio kichomiSasa hizo radio za nje atafanyaje kazi bila kujua Fluent English.
Unajua kiasi gani atakuwa anaingiza hapo Wasafi hiv ujiulizi kwanini watangazaji wengi sasa hiv wanakimbilia WasafiJamaa kwel ana kipaj ila kwa hapa alpofikia nkajua ameaxhana na Times kapata ata deal la radio kubwa za nje coz ya influence ata ya zile tuzo angeenda kama trace,,soundcity au ata majerlazer radio kumbe ni utumbo wa ulimbuken kafany kuamia ile media ya kupelekwa pelekwa na Anayejiita Chibu wakat Chibu asil is alive......
Mmmmmh napiga mihayo........
Aaaaaaahaaaaaah
Aya naendlea.. Kutoka times na kwend wasaf ni kama umehama kwwny kwnye rod ya kokoto ukaenda ywnye changarawe Depends on his level now ningetarajia kumuona vituo vikubwa sana ya nje..
Kingne boss wa Times alishindwa kutumia ukubw wa tuzo ya Tambwe kuiexpand na kuibrand times sijui anatembea na akili za mkopo badal yake kushindwa kuidefence kamwachia dida na kale kajamaa cha mipasho but anyways mpira pasi alipoondoka tambwe kuna mtu atapata nafas...
Half Writter Full IQ
NB: Solo Thang x Profesa x Afande Sele =
[emoji23] mtazamoJamaa kwel ana kipaj ila kwa hapa alpofikia nkajua ameaxhana na Times kapata ata deal la radio kubwa za nje coz ya influence ata ya zile tuzo angeenda kama trace,,soundcity au ata majerlazer radio kumbe ni utumbo wa ulimbuken kafany kuamia ile media ya kupelekwa pelekwa na Anayejiita Chibu wakat Chibu asil is alive......
Mmmmmh napiga mihayo........
Aaaaaaahaaaaaah
Aya naendlea.. Kutoka times na kwend wasaf ni kama umehama kwwny kwnye rod ya kokoto ukaenda ywnye changarawe Depends on his level now ningetarajia kumuona vituo vikubwa sana ya nje..
Kingne boss wa Times alishindwa kutumia ukubw wa tuzo ya Tambwe kuiexpand na kuibrand times sijui anaembea na akili za mkopo badal yake kushindwa kuidefence kamwachia dida na kale kajamaa cha mipasho but anyways mpira pasi alipoondoka tambwe kuna mtu atapata nafas...
Half Writter Full IQ
NB: Solo Thang x Profesa x Afande Sele =