Fido na Samio Love ni singeli's expert singeli inataka watu wa aina ile.Momo mbona yuko powa.Hata kigugumizi chache sio kikubwa na ana sauti Unique.Mbona kuna watu wanawapenda wale wa Efm wenye masauti ya kukwaruza wale wanaoendesha kipindi cha singeli nadhani ni Fido na mwenzie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona kuna mtu anafikiri hivyo cheka endelea na mambo yakoKwa kweli wanaosababisha mlinganisho ni mashabiki wa Wasafi kutaka kuuaminisha umma kuwa Wasafi wamekuja kuizima Clouds...
Kwanini?
pole ,chuki uangamiza anae hiifadhi, acha chuki na kutuaminisha ujinga wako
Kwa uelewa wako wewe unadhani mtu anakubari kufanya biashara ya hasara?Uendeshaji wa Menejiment za kampuni unaujua kwanza,Usione umaarufu wa Diamond ukajua hela zake ndio zitatosha kuendesha kampuni,
Watu wanna angaria maslahi sio Kama unavyodhania wewe .mi nilimsikiliza Salim kikeke alisema watu wanafikiri yeye analipwa hera nzuri Ndio analipwa hell nzuri lakini ukizingatia maisha ya kule bills kubwa Sana so anajikuta anabakia na pesa chache
Kuhusiana ku copy sio sawa .kwa sababu vipindi haviwezi tofautiana Sana .hata radio za nje labda Kenya na sehemu zingine misingi ni ile ile, ni sawa unaposema rnb au hip hop misingi ni ile ile .hata uimbe VPMzee hakuna media inashindana na media nyenzake alafu kufananisha hata kwa uchache Clouds na Wasafi ni kosa kubwa.
Wasafi inapatikana pwani tu, Clouds iko all over the country ina umri wa kijana ambaye anatia mimba kabisa, ina watu walioko kwenye hiyo tasnia miaka dahari.
Alafu vipindi huwa vinaigwa tu hakuna jipya, hiyo singeli unayoisikia EFM miaka ya nyuma ilikuwa ndio mambo ya Times fm jiulize kwanini waliacha.
Kuna radio marekani zinasikika mji mmoja mmoja vipindi vyake ni vilevile and nobody is complaining kila mtu anatafuta listeners kivyake
Anaweza kukaa pale wasafi na pia akatengeneza platform ya kwake.kwani kwa Millard ayo ipojeKwanza ameenda kwenye Redio ambayo ina ukuta mnene wa kufanya kazi na wasanii wote usitegemee wasaniii mahasimu na diamond mfano Ali kiba,Mavoko na Harmonize kuhojiwa pale so itakua ngumu kubalance tofauti na Times kulikua hakuna kubanwa alikua huru sana hivyo kipindi nadhani kitachuja.
Pili kwa mimi nimuonavyo Lily Ommy kwa ukubwa wake alipaswa awe kama Millard ayo awe na platmform yake kubwa tu na kusingekua na sababu ya kuhama Times..najiuliza je ataweza kupost clip zake kwenye channel yake au ndo anaenda kuua keria yake kama ilivyo kwa jonijo .
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hichi ndicho nilichokuwa nakimaanisha.Kuhusiana ku copy sio sawa .kwa sababu vipindi haviwezi tofautiana Sana .hata radio za nje labda Kenya na sehemu zingine misingi ni ile ile, ni sawa unaposema rnb au hip hop misingi ni ile ile .hata uimbe VP
Sikupingi ✔️✔️✔️Na hichi ndicho nilichokuwa nakimaanisha.
Kisa Star tv wanatangaza taarifa ya habari hatuwezi kusema wamewaiga ITV
Sidhani kama ataweza kuruhusiwa Kupost Kwenye chanel yake, nasikia anakuja Media online kama Ilivyo kwa Millard na akina Dozen, nadhani uko ndo atakua anafanya interview na akina KibaKwanza ameenda kwenye Redio ambayo ina ukuta mnene wa kufanya kazi na wasanii wote usitegemee wasaniii mahasimu na diamond mfano Ali kiba,Mavoko na Harmonize kuhojiwa pale so itakua ngumu kubalance tofauti na Times kulikua hakuna kubanwa alikua huru sana hivyo kipindi nadhani kitachuja.
Pili kwa mimi nimuonavyo Lily Ommy kwa ukubwa wake alipaswa awe kama Millard ayo awe na platmform yake kubwa tu na kusingekua na sababu ya kuhama Times..najiuliza je ataweza kupost clip zake kwenye channel yake au ndo anaenda kuua keria yake kama ilivyo kwa jonijo .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hata nikiorodhesha yote uliyoyahitaji still nitakachokileta tayari umekiita ni uduanzi... Huwa si argue na watu wasio na busara Kama wewe, punguza mihemko then leta hoja sio kuruka ruka na dharau za kipuuziMkuu mkuu pole sana.Una very poor reasoning.Ungeanza kwa kuorodhesha vitu vipya vilivyoko Efm.Na unaelewa maana ya kusema Wasafi wanatembelea kivuli cha Clouds au unaongea vitu usivyovijua.Tafuta maana ta kutembelea kivuli cha....kish uje uletw udwanzi wako tena hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mashabiki wa Wasafi ndio Wana hizo kauli sanaMashabiki wa clouds na mashabiki wa wasafi ndio wanaofanya mlinganisho.
Ushauri muafaka kabisa huuUkiona kuna mtu anafikiri hivyo cheka endelea na mambo yako
feyzal kama umeona Mimi nafanana na wamama ,basi mamayako atakuwa na matatizoKweli mashabiki wa dabliyusibii hawana tofauti na wanachama wa CCM yaani mtu kutoa maoni yake imekua chuki? Acha umama jinga kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
XXL is classyNdio huo utopolo mnaulinganisha xxl ya clouds fm?
Dozen ana Chanel yakeSidhani kama ataweza kuruhusiwa Kupost Kwenye chanel yake, nasikia anakuja Media online kama Ilivyo kwa Millard na akina Dozen, nadhani uko ndo atakua anafanya interview na akina Kiba