kibla matata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2020
- 412
- 380
Mtu imara mwamba kachiriMomo yupo vizuri uwezi kumfananisha na mtu imara ni kumkosea heshima
Bora wamtafutie hata kazi ya kufagia pale wasafi media
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu imara mwamba kachiriMomo yupo vizuri uwezi kumfananisha na mtu imara ni kumkosea heshima
Swali zuri akikujibu nitag
Chagua
Labda Steve jobs wa namtumbo au TandaleMondi sio mtu mzuri kabisa, Mondi ana ubongo wa Steve Jobs,Elon Musk, Mandela , MLK na Jayz ukiwajumlisha.
Uzi kamili unakuja
wanakamilisha kwanza vipindi upande wa radio .Sijui kwa nn kila nikiwasha tv wsb tv et naona kama natazama tbc 2 sijui kwa nini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Why samHapa Tz hakuna mtangazaji ..mzuri kama Sam misago awa wengine wanatumia nguvu kubwa kueleweka.
sijaumia.. Ni kwamba bongo hamna innovation Nyanja nying So kweny media,music sishangai kuskia mwijaku mtangazaj mara stv Nyerer mpigaj wa rambi2 ,,mpira utaskia ndemla kaend yanga sijui hamis tambwe alkua simba kaend yanga, ajibu,,sijui gadiel michael katok yang kaend simba mara huwez chez nje na simb yanga huitw starz yaan alfa ulela tu Usishangae Nandy akitangaza pale Mawingu fm
ni kweli mkuu noma sama siunaona ad vijana wa sasa (bagdad,nik mbish)wameisampleNakumbuka ile ngoma ilikuwa hatari sana enzi zile
Mtu Kama mtu imara anakiangusha Sana kipindi inabidi jamaa wamtoe.Means Block 89 wameshindwa kudeliver?
Hiyo tunaita MACHI TALENTIsijaumia.. Ni kwamba bongo hamna innovation Nyanja nying So kweny media,music sishangai kuskia mwijaku mtangazaj mara stv Nyerer mpigaj wa rambi2 ,,mpira utaskia ndemla kaend yanga sijui hamis tambwe alkua simba kaend yanga, ajibu,,sijui gadiel michael katok yang kaend simba mara huwez chez nje na simb yanga huitw starz yaan alfa ulela tu Usishangae Nandy akitangaza pale Mawingu fm
Kazi ya utangazaji haina ukomo wa umri tofauti na mpira sio mbaya kwa Lil ommy kufanya kazi nchini Kama anapata mpunga mrefu Cha msingi mashabiki acheni kupangia watu maisha.sijaumia.. Ni kwamba bongo hamna innovation Nyanja nying So kweny media,music sishangai kuskia mwijaku mtangazaj mara stv Nyerer mpigaj wa rambi2 ,,mpira utaskia ndemla kaend yanga sijui hamis tambwe alkua simba kaend yanga, ajibu,,sijui gadiel michael katok yang kaend simba mara huwez chez nje na simb yanga huitw starz yaan alfa ulela tu Usishangae Nandy akitangaza pale Mawingu fm
Embu kuwa na adabu na heshima ww Steve Jobs usifananishe na watu waovyo Alaa [emoji51]
Kama hivyo ndivyo ilivyo Basi kila kipindi kitaanza kwa Moto halafu kitafulia Kama ilivyotokea kwa hiyo Block, kila kipindi cha magazeti cha kitenge na zembwela.... Ishu sio kuwa na watangazaji wenye majina swali Ni je wanaweza ku connect na wenzao?Momo anachokifanya unakionaje? Hujawahi jiuliza why bado anaonekana tu
Uendeshaji wa Menejiment za kampuni unaujua kwanza,Usione umaarufu wa Diamond ukajua hela zake ndio zitatosha kuendesha kampuni,Pesa ipo pale wana connection nyingi
Mondi sio mtu mzuri kabisa, Mondi ana ubongo wa Steve Jobs,Elon Musk, Mandela , MLK na Jayz ukiwajumlisha.
Uzi kamili unakuja