Agizachochote
Member
- Sep 29, 2020
- 34
- 464
Naam!Kwa bongo,pure entertainment presenter mkali lazima awe connected na Arusha kwa namna moja au nyingine IMO.
Mzigo unaingia mwisho mwezi na deals za kutosha pembeni,hao walio mwona wanatosha kwani huwezi kupendwa na kila mtu.Omari tambwe aka Lil Ommy kiukweli anacheza chini ya kiwango sana. Show za mchana zina taka presenter mwenye swaga ..mjanja mjanja.
Omari siyo mbunifu.. Hajui hata kuvaa.. Anavaa utadhani yupo ofisini ya serikalini au misikitini.. Acha brag brag.
Bado combination ya Adam, b12, fatuma na ncha kali haijawahi kutokea.!! Ommy ni overrated tu.. Jonijo yupo vizuri sana... Si umeona kipindi lao empire na twelve linavyo songa.
Sina chuki na Ommy sema jamaa inabidi akae kijanja siyo kifaza.
Sina
Unamshauri nini Lil ommyOmari tambwe aka Lil Ommy kiukweli anacheza chini ya kiwango sana. Show za mchana zina taka presenter mwenye swaga ..mjanja mjanja.
Omari siyo mbunifu.. Hajui hata kuvaa.. Anavaa utadhani yupo ofisini ya serikalini au misikitini.. Acha brag brag.
Bado combination ya Adam, b12, fatuma na ncha kali haijawahi kutokea.!! Ommy ni overrated tu.. Jonijo yupo vizuri sana... Si umeona kipindi lao empire na twelve linavyo songa.
Sina chuki na Ommy sema jamaa inabidi akae kijanja siyo kifaza.
Sina
Uzi umejaa majungu na fitina, tafuta kazi kijana ya kufanya
Wewe tena kwa hiyo mbwiga kwa sababu yupo Wasafi ila alivyo kuwa Times hakuwa mbwiga.Mkuu na ukweli usemwe!
Ila anacho michekesha ni uvaaji wake kama mbwiga fulani na anapenda marangi marangi sana,,,
mzee kila mtu na style yake.hapo unakuwa unaingilia personal life yakeMkuu na ukweli usemwe!
Ila anacho michekesha ni uvaaji wake kama mbwiga fulani na anapenda marangi marangi sana,,,
Mkuu mchezaji anaweza akatamba ligi za mchangani, ila akipanda za ligi kuu anapwayaWewe tena kwa hiyo mbwiga kwa sababu yupo Wasafi ila alivyo kuwa Times hakuwa mbwiga.
Kweli anaye kuchukia mara nyingi hana sababu.
Wewe tena si shangai Wasafi kwako hawana zuri.Mkuu mchezaji anaweza akatamba ligi za mchangani, ila akipanda za ligi kuu anapwaya
Ukweli ni kua Omy anapwaya
Makofia yake ya Msikitini ndio yanayo mpa ugali ,ndiyo yanayo deals na ndio hayo hayo yanayo fanya watu wamsikilize kwenye kipindi chake,so sio lazima wote wafanane.Huwa anavaa makofia yake ya misikitini
wewe ulitaka avae niniHuwa anavaa makofia yake ya misikitini