Lile kosa ni la Camara sio Chasambi

Lile kosa ni la Camara sio Chasambi

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Rejeeni magoli mawili aliyofungwa kwenye mechi kati ya Coastal Union na Simba, ni kama la jana tu, anajitahidi kujiweka kwenye kiwango ambacho hana, matokeo yake anagawa uroda kirahisi.

Hongera Chasambi, wewe na Bacca wa Yanga ni mabeki wenye magoli NBCPL. Keep it up bro.
 
ndio maana wachambuzi wa nje wanaangalia move hadi nne za goli ili kujua kosa lililosababisha goli ... sisi naona tunaangalia assist na mfungaji, we lack proper scope ya kuchambua mpira vizuri
 
Back
Top Bottom