Lile nyomi la mapokezi ya Lema lililetwa na malori mangapi?

Lile nyomi la mapokezi ya Lema lililetwa na malori mangapi?

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Sisi WanaCCM tumezoea kusombwa na malori kwenda kupokea viongozi wa kitaifa wanapokuja kufanya ziara za kichama hata kiserikali.

Baada ya uminywaji wa demokrasia kwa miaka zaidi ya 8, hatimaye vyama vya siasa vimeruhusiwa kuanza kufanya shughuli zao kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi.

Wanasoasa walioenda ukimbizini wameanza kurejea nchini. Ukimbizi wao umetokana na ukweli usio na shaka kuhusiana na tishio la maisha yao ambapo vyombo vya dola havijawahi kukanusha tuhuma hizo dhidi yao

Jana tarehe 01 March 2023, mwanasiasa mwandamizi wa CHADEMA ndugu Godbless Lema amerejea kutoka Canada alipokimbilia yeye na familia yake kunusuru maisha yao dhidi ya risasi zilizonunuliwa kwa kodi ya watanzania zisije kutumika dhidi yao.

Mapokezi makubwa yameshubudiwa na hakika tumeona nyomi lisilo na mfano kwenye mapokezi hayo.

Screenshot_20230302_083833_Instagram.jpg


Kwa sisi wanaCCM hasa nyie viongozi mlioingia madarakani kwa rushwa, tunajifunza nini kuhusiana na mahaba ya kisiasa ya wananchi wanayoyaonesha kwa chama cha CHADEMA.

Mimi binafsi yangu naunga mkono maneno ha mwanaCCM mwenzangu Dkt. Slaa kuwa CHADEMA wameiva na kukomaa hivyo wakipewa nchi itakuwa kwenye mikono salama...
 
Sina hakika kama kweli wewe ni mwana CCM!
Kwa namna ninavyoeleza ukweli wa ugaigai wa chama changu. Nimelazimika kutembea na kadi zangu za chama.na jumuia ili watakapoona ni muda wa kudhuru korodani zangu basi wawe na uhakika wa kuwa wanamhasi mwanachama mwenzao

Mimi ni CCM nalipa ada zangu
 
Sisi WanaCCM tumezoea kusombwa na malori kwenda kupokea viongozi wa kitaifa wanapokuja kufanya ziara za kichama hata kiserikali.

Baada ya uminywaji wa demokrasia kwa miaka zaidi ya 8, hatimaye vyama vya siasa vimeruhusiwa kuanza kufanya shughuli zao kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi.

Wanasoasa walioenda ukimbizini wameanza kurejea nchini. Ukimbizi wao umetokana na ukweli usio na shaka kuhusiana na tishio la maisha yao ambapo vyombo vya dola havijawahi kukanusha tuhuma hizo dhidi yao

Jana tarehe 01 March 2023, mwanasiasa mwandamizi wa CHADEMA ndugu Godbless Lema amerejea kutoka Canada alipokimbilia yeye na familia yake kunusuru maisha yao dhidi ya risasi zilizonunuliwa kwa kodi ya watanzania zisije kutumika dhidi yao.

Mapokezi makubwa yameshubudiwa na hakika tumeona nyomi lisilo na mfano kwenye mapokezi hayo.

Kwa sisi wanaCCM hasa nyie viongozi mlioingia madarakani kwa rushwa, tunajifunza nini kuhusiana na mahaba ya kisiasa ya wananchi wanayoyaonesha kwa chama cha CHADEMA.

Mimi binafsi yangu naunga mkono maneno ha mwanaCCM mwenzangu Dkt. Slaa kuwa CHADEMA wameiva na kukomaa hivyo wakipewa nchi itakuwa kwenye mikono salama...
Wewe mwana CCM kweli!
Mbona umeshindwa kuufucha uanachadema wako?

Kuna tatizo gani kama ungejitambulisha uhalisia wako?
 
Sisi WanaCCM tumezoea kusombwa na malori kwenda kupokea viongozi wa kitaifa wanapokuja kufanya ziara za kichama hata kiserikali.

Baada ya uminywaji wa demokrasia kwa miaka zaidi ya 8, hatimaye vyama vya siasa vimeruhusiwa kuanza kufanya shughuli zao kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi.

Wanasoasa walioenda ukimbizini wameanza kurejea nchini. Ukimbizi wao umetokana na ukweli usio na shaka kuhusiana na tishio la maisha yao ambapo vyombo vya dola havijawahi kukanusha tuhuma hizo dhidi yao

Jana tarehe 01 March 2023, mwanasiasa mwandamizi wa CHADEMA ndugu Godbless Lema amerejea kutoka Canada alipokimbilia yeye na familia yake kunusuru maisha yao dhidi ya risasi zilizonunuliwa kwa kodi ya watanzania zisije kutumika dhidi yao.

Mapokezi makubwa yameshubudiwa na hakika tumeona nyomi lisilo na mfano kwenye mapokezi hayo.

Kwa sisi wanaCCM hasa nyie viongozi mlioingia madarakani kwa rushwa, tunajifunza nini kuhusiana na mahaba ya kisiasa ya wananchi wanayoyaonesha kwa chama cha CHADEMA.

Mimi binafsi yangu naunga mkono maneno ha mwanaCCM mwenzangu Dkt. Slaa kuwa CHADEMA wameiva na kukomaa hivyo wakipewa nchi itakuwa kwenye mikono salama...
Umeshindwa kuweka picha wala video clip??
 
Sisi WanaCCM tumezoea kusombwa na malori kwenda kupokea viongozi wa kitaifa wanapokuja kufanya ziara za kichama hata kiserikali.

Baada ya uminywaji wa demokrasia kwa miaka zaidi ya 8, hatimaye vyama vya siasa vimeruhusiwa kuanza kufanya shughuli zao kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi.

Wanasoasa walioenda ukimbizini wameanza kurejea nchini. Ukimbizi wao umetokana na ukweli usio na shaka kuhusiana na tishio la maisha yao ambapo vyombo vya dola havijawahi kukanusha tuhuma hizo dhidi yao

Jana tarehe 01 March 2023, mwanasiasa mwandamizi wa CHADEMA ndugu Godbless Lema amerejea kutoka Canada alipokimbilia yeye na familia yake kunusuru maisha yao dhidi ya risasi zilizonunuliwa kwa kodi ya watanzania zisije kutumika dhidi yao.

Mapokezi makubwa yameshubudiwa na hakika tumeona nyomi lisilo na mfano kwenye mapokezi hayo.

Kwa sisi wanaCCM hasa nyie viongozi mlioingia madarakani kwa rushwa, tunajifunza nini kuhusiana na mahaba ya kisiasa ya wananchi wanayoyaonesha kwa chama cha CHADEMA.

Mimi binafsi yangu naunga mkono maneno ha mwanaCCM mwenzangu Dkt. Slaa kuwa CHADEMA wameiva na kukomaa hivyo wakipewa nchi itakuwa kwenye mikono salama...
Chadema imekomaa ipewe nchi ccm ni waongo.
 
Wewe mwana CCM kweli!
Mbona umeshindwa kuufucha uanachadema wako?

Kuna tatizo gani kama ungejitambulisha uhalisia wako?
Wala usipate shida.
Soma posts zangu za miaka ya nyuma hapo kabla ya kifo cha JPM. Sijazifuta na sizifuti

Siyo mpaka utoke ccm ndo uipinge. Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM
 
Wewe mwana CCM kweli!
Mbona umeshindwa kuufucha uanachadema wako?

Kuna tatizo gani kama ungejitambulisha uhalisia wako?
Ccm hata wanaccm wameichoka. Kwani wanapata nini? Wewe na mimi sote tumechoka tu hakuna umuhimu wa ccm kukaa madarakani
 
Sisi WanaCCM tumezoea kusombwa na malori kwenda kupokea viongozi wa kitaifa wanapokuja kufanya ziara za kichama hata kiserikali.

Baada ya uminywaji wa demokrasia kwa miaka zaidi ya 8, hatimaye vyama vya siasa vimeruhusiwa kuanza kufanya shughuli zao kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi.

Wanasoasa walioenda ukimbizini wameanza kurejea nchini. Ukimbizi wao umetokana na ukweli usio na shaka kuhusiana na tishio la maisha yao ambapo vyombo vya dola havijawahi kukanusha tuhuma hizo dhidi yao

Jana tarehe 01 March 2023, mwanasiasa mwandamizi wa CHADEMA ndugu Godbless Lema amerejea kutoka Canada alipokimbilia yeye na familia yake kunusuru maisha yao dhidi ya risasi zilizonunuliwa kwa kodi ya watanzania zisije kutumika dhidi yao.

Mapokezi makubwa yameshubudiwa na hakika tumeona nyomi lisilo na mfano kwenye mapokezi hayo.

Kwa sisi wanaCCM hasa nyie viongozi mlioingia madarakani kwa rushwa, tunajifunza nini kuhusiana na mahaba ya kisiasa ya wananchi wanayoyaonesha kwa chama cha CHADEMA.

Mimi binafsi yangu naunga mkono maneno ha mwanaCCM mwenzangu Dkt. Slaa kuwa CHADEMA wameiva na kukomaa hivyo wakipewa nchi itakuwa kwenye mikono salama...
CCM huwezi kuitoa kwa hii katiba mbovu na tume ya CCM
 
Sisi WanaCCM tumezoea kusombwa na malori kwenda kupokea viongozi wa kitaifa wanapokuja kufanya ziara za kichama hata kiserikali.

Baada ya uminywaji wa demokrasia kwa miaka zaidi ya 8, hatimaye vyama vya siasa vimeruhusiwa kuanza kufanya shughuli zao kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi.

Wanasoasa walioenda ukimbizini wameanza kurejea nchini. Ukimbizi wao umetokana na ukweli usio na shaka kuhusiana na tishio la maisha yao ambapo vyombo vya dola havijawahi kukanusha tuhuma hizo dhidi yao

Jana tarehe 01 March 2023, mwanasiasa mwandamizi wa CHADEMA ndugu Godbless Lema amerejea kutoka Canada alipokimbilia yeye na familia yake kunusuru maisha yao dhidi ya risasi zilizonunuliwa kwa kodi ya watanzania zisije kutumika dhidi yao.

Mapokezi makubwa yameshubudiwa na hakika tumeona nyomi lisilo na mfano kwenye mapokezi hayo.

View attachment 2534402

Kwa sisi wanaCCM hasa nyie viongozi mlioingia madarakani kwa rushwa, tunajifunza nini kuhusiana na mahaba ya kisiasa ya wananchi wanayoyaonesha kwa chama cha CHADEMA.

Mimi binafsi yangu naunga mkono maneno ha mwanaCCM mwenzangu Dkt. Slaa kuwa CHADEMA wameiva na kukomaa hivyo wakipewa nchi itakuwa kwenye mikono salama...
1677668521449.jpg

Kataa wahuni
 
Back
Top Bottom